Mabadiliko MMU

SAFI SANA DENA,
Kumpenda,kumsifia,kumkandia mwanaJF mwenzako mi naona hakuna ubaya ila kuanzisha eti thread ya nampenda mwanaJF fulani naona kama haina maana sana, hatua unayotakiwa kufanya ni kuMP ili huko mwelezane mnavyopendana kwa undani.
Huyo unamwanzia thread kama ameolewa au ameoa inaweza kumletea matatizo ktk familia yake hasa ikiwa mume/mke ana ufahamu mdogo.

Suluhisho ni kuMP.
Pia mgongee THANKS,LIKE NYIIIINGI UWEZAVYO.
 
Mods tunaomba mwongozo wa hii thread... ni sahihi kumuanzishia thread Member unayemzimia?
 
Nipo sweety naogopa foleni,unaongoza kwa kuzimikiwa/kudondokewa hapa MMU tukipangana hata foleni ya Babu haifui dafu,nini siri yako Dena ?

ha ah ha ha ha foleni ruksa wananizimikia wananidondokea including wewe mwenyewe................
 

Tausi bana hiyo kitu imenigusa ndo maana nikaanzisha hii thread.....................nimeona kama inaboa fulani hivi
 

Well said dear....................
 
Mods tunaomba mwongozo wa hii thread... ni sahihi kumuanzishia thread Member unayemzimia?

Mimi sio MOD Kukatalia au kukubalia nimetoa mawazo yangu tu my dear sio amri................pole kwa kukwaza
 
Mods tunaomba mwongozo wa hii thread... ni sahihi kumuanzishia thread Member unayemzimia?

Wala tusiwasumbue hao.
PM inatosha tuuuuuuuuuu.
Tumia vizuri PM yako uliyopewa.
 
Nawe ukiona wanafanya hivyo, waPM uwapashe, usianzishe thread kama ulivyofanya sasa. Unakataa nini na unafanya nini? If something is not chewable, ignore it.
 
hahahaha jaman nilikua cjafka humu,ningekosa mengi, wengine wanampenda halima Mdee,yani chenga 2pu, wanazingua afu hawamaanishi,wapo fake.m2 anapenda ushauri wa member anataka kutangaza ndoa.
 
hahahaha jaman nilikua cjafka humu,ningekosa mengi, wengine wanampenda halima Mdee,yani chenga 2pu, wanazingua afu hawamaanishi,wapo fake.m2 anapenda ushauri wa member anataka kutangaza ndoa.


Mchokozi wewe ha ha ha ha ha
 
Na zile za kumissiana je! maana baada ya kutokuzipenda zile, itakuja mwingine tena hapendi aina fulani ya thread basi kila mtu atasema hapendi nini, mwisho wa siku kila kitu kitakuwa hakipendwi. wahusika wamesikia afadhali, nina imani watapunguza.... ila tu hata kwenye diskashen za QM na QT pia katikati huwa zinawekwa jokes za hapa na pale sio kuwa serious mwanzo mwisho inachosha sana.
 
Mimi sio MOD Kukatalia au kukubalia nimetoa mawazo yangu tu my dear sio amri................pole kwa kukwaza

Hahaaa DA sijakwazika kabisa nipo poa, maana hapa JF ni kipimo cha uvumilivu, ingawa makwazo hayana budi kuja lakini kwa hili sijakwazika...
anyway sikuanzishii thread lakini NAKUZIMIA..........
 

umenena mkuu..
anyway nimeizimia hiyo avatar yako ni wewe mwenyewe au ni zile zile za kutoka magharibi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…