Mabadiliko MMU



Nimetoa mawazo yangu so si lazima sana ukubaliane nayo........pole kama nimekukwaza sio nia yangu
 
Hahaaa DA sijakwazika kabisa nipo poa, maana hapa JF ni kipimo cha uvumilivu, ingawa makwazo hayana budi kuja lakini kwa hili sijakwazika...
anyway sikuanzishii thread lakini NAKUZIMIA..........

Asante kwa kunizimia.....................
 
KK sijui kama umenisoma vizuri nimesema samahani kama kuna ninayemkwaza kwa hili. Pole sana kwa hilo ni mtazamo wangu tu
japo na wewe nimtazamo wako sipingi mawazo yako ila na mimi nimeweka yakwangu! DA nimekukopia kakipengele na wewe ambako nadhani hujanielewa!!Habari za asubuhi??
 
japo na wewe nimtazamo wako sipingi mawazo yako ila na mimi nimeweka yakwangu! DA nimekukopia kakipengele na wewe ambako nadhani hujanielewa!!Habari za asubuhi??

Nimekusoma vizuri sana.

Habari za asubuhi nzuri sana vipi weewe?? Mzima lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…