Mabadiliko na miiko ya uongozi na utumishi wa umma

Hii ni sura ya tatu,katika rasimu ya Katiba pakiweka vizuri hapa ndo moyo wa kumaliza ufisadi ndani ya utumishi wa umma,kuanzia ibara 13 mpaka 21 zikikaziwa zaidi itasaidia kupunguza ufisadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…