Ni wapi elimu ya tanzania inapoelekea? kama elimu imebadilishwa kuwa kama mchezo wa kuigiza, mabadiliko yanafanyika kimya kimya tu, na kwa namna hii inaonesha kabisa kudorora katika sekta hii. our educational system has no way foward. every person with his policy on education. inabidi msimamo katika elimu uwepo sio kuyumbisha sekta hii kwa mtindo mbovu.