Kila mmoja analalamika,mimi nalalamika,mtoa mada analalamika, wanafunzi wanalalamika, walimu wanalalamika, waziri wa elimu ana lalamika, waziri mkuu analalamika, makamu wa rais anakata utepe kufungua majengo, rais analalamika sasa nani achukue hatua?