Bunchari
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 558
- 661
Amjambo?
Nimekua nikifuatilia hali ya kisiasa nimekuja na kitu,siku zote mapinduzi ya kisiasa ufanywa na watu wenye pesa usitegemee common mwananchi kusimamia jukumu ili kwa sababu mbili,kwanza hana resources za kumsaidia haki upande wa mahakama na pili hana kipato cha uhakika kuendesha familia na majukumu mengineyo.
Baada ya sakata la bandari kuibuka viongozi wa mrengo wa upinzani wamekua wakiimiza wananchi kudai haki zao za kikatiba kwa kusema wao wamemaliza wamewaachia wananchi, binafsi naona kwa mazingira ya siasa zetu na tabia za wananchi ni ngumu sana kuleta mageuzi
Nimekua nikifuatilia hali ya kisiasa nimekuja na kitu,siku zote mapinduzi ya kisiasa ufanywa na watu wenye pesa usitegemee common mwananchi kusimamia jukumu ili kwa sababu mbili,kwanza hana resources za kumsaidia haki upande wa mahakama na pili hana kipato cha uhakika kuendesha familia na majukumu mengineyo.
Baada ya sakata la bandari kuibuka viongozi wa mrengo wa upinzani wamekua wakiimiza wananchi kudai haki zao za kikatiba kwa kusema wao wamemaliza wamewaachia wananchi, binafsi naona kwa mazingira ya siasa zetu na tabia za wananchi ni ngumu sana kuleta mageuzi