Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Nilishatoa hili sijui mwaka juzi...narusia tena
HILI LINAWAHUSU ZAIDI WIZARA YA UTALII, WIZARA YA AFYA, PAMOJA NA UHAMIAJI
Napendekeza kila tangazo linalotolewa liwe kwa Lugha mbili; Yaani Kiswahili na Kiingereza
I weje tangazo linalo wahusu watalii kwa asilimia 80% likose nakala ya Kiingereza.
Wote tunajua kuwa Kiingereza ni tatizo kwa watu wengi lakini pia, kutafsiri ni kazi ya watu sio kila mtu anaweza kutafisiri na kufikisha ujumbe uliokusudiwa.
Yaani kuna vitu vidogo vidogo vinatufanya tuonekane hatupo serious!
HILI LINAWAHUSU ZAIDI WIZARA YA UTALII, WIZARA YA AFYA, PAMOJA NA UHAMIAJI
Napendekeza kila tangazo linalotolewa liwe kwa Lugha mbili; Yaani Kiswahili na Kiingereza
I weje tangazo linalo wahusu watalii kwa asilimia 80% likose nakala ya Kiingereza.
Wote tunajua kuwa Kiingereza ni tatizo kwa watu wengi lakini pia, kutafsiri ni kazi ya watu sio kila mtu anaweza kutafisiri na kufikisha ujumbe uliokusudiwa.
Yaani kuna vitu vidogo vidogo vinatufanya tuonekane hatupo serious!