Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,888
- 3,352
mkuu unamanisha aanze kupigwa jicho mkuu?[emoji102][emoji102][emoji102][emoji102][emoji102][emoji102]
Hahahahaa..watu mna vituko aisee!!picha tafadhali
Usiache uke wako wazi wazi mala kwa mala upepo ukaingia humo,vaa chupi muda wote japo jisafishe kila wakati kama destuli,lala na chupi usiku wote na uvue pale tu unapotaka kukutana kimwili na mumeo.baada ya hapo ukijisafisha ili ulale vaa tena chupi usiku wote mpaka asubuhi.Wana jf
Habari za jumapili.
Nimejifungua mtoto Wa pili miezi 6 iliyopita! Kuna uwezekani wa uke kuendelea kubana hata baada ya kujifungua..
Ninajitahidi sana sana kufanya kegel exercises kila mara.
Nitajuaje kuwa uke wangu sasa umeanza kubana kama awali..
Naombeni msinibeze Bali mnifahamishe namna nzuri ya kudeal na maumbile haya mapya...
Nina uchungu sana shemeji yenu alikuwa akinipenda na kunisifia sana kabla ya mtoto Wa pili,, now days ni michepuko hadi nakoma so nahisi ni sababu ya maumbile ya k yamepanuka sana!
Usisikilize kila neno,kwa akili ya kawaida tu mwanamke unaanzaje kukaa mwaka bila ngono na unaishi na mwenza wako?Kitabibu ngono huweza kuresume kuanzia week ya nne mpaka ya sita kama mtu amepona sawa sawa(hasa wa upasuaji)Mie sijui bibie hayo mavitu,sijui manzi wangu nae amekuwa hivyo ametoka kujifungus wiki iliyopita kwa kuongozewa njia! Sasa kama inatakiwa akae mwaka moja hapo ni lazima nitafute mchepuko masna mie siwezi kukaa mwaka mzims bila sex
maji moyo na chumvi ilinisaidia Sana,nimemwambia kitu Nina evidence nacho.
Umesema nyuzi ngapi? unamanisha walimaliza nyuzi sita wakushona msamba?Pole sana ndugu mimi nilishonwa nyuzi sita nilikua najiogopa lakini taratibu nilirud km nilivokua mwanzo
Hapana mkuu,sio apimwe jicho nilikua nukodoa kwajicho moja.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mkuu unamanisha aanze kupigwa jicho mkuu?
Usisikilize kila neno,kwa akili ya kawaida tu mwanamke unaanzaje kukaa mwaka bila ngono na unaishi na mwenza wako?Kitabibu ngono huweza kuresume kuanzia week ya nne mpaka ya sita kama mtu amepona sawa sawa(hasa wa upasuaji)
kwa wengine maybe miezi miwili mpaka minne.Hii huzingatia pia mambo mengine kama afya ya mama,hali ya asili ya kimaumbile n.k.Hivi ndani ya huo mwaka huyo mama anakuwa anajichua au??
[emoji1] mbavu zanguuupicha tafadhali
yes,na hakuna shida,tena since mimba Ina seven month.Yani ulikaa mwaka mzima bila kufanya sex?
binadamu my dear,sasa niumie kisa ndoa,akitaka kuchepuka huwezi mzuia hata kama utado na blood inatoka,ndoa si utumwa,tena alikuwa ananihurumia Sana,juu aliona vile niliumia.kumletea mtoto si kitu cha mchezo na nashukuru anathamini Hilo.One year haujigijiwi??? [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Ameolewa na roboti au?