Mabadiliko ya usajili mfumo wa kusajili majina ya kampuni Brela (ORS)

Mabadiliko ya usajili mfumo wa kusajili majina ya kampuni Brela (ORS)

ommy15

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
674
Reaction score
1,017
Brela kuanzia mwezi kwanza mwaka huu mlifanya mabadiliko kwenye mfumo wenu wa usajil majina ya kampuni. Lakin mabadiliko hayo yamekuwa shida kwetu watumiaji wa mfumo huo.

Kwani mlitutumia user name na pasword za kuingilia ambazo ni tofauti kabisa na tukizojiunga mwanzo. Hapa sio shida sana ila shida n kwamba hatuwezi kubadilisha user name kama mwanzo ambapo tuliweza kulog in kwa kutumia email.

Napendekeza muweke utaratibu ambao utakuwa rafiki kwa sisi watumiaji kwa maana niwena uchaguz wa kutumia user id yangu ambayo itakuwa rahisi kuikumbuka.

Pili mfumo mzma au mpangilio wa vitu,muonekano ni mgumu sana kutumia,hauvutii na hasa sio rafiki kabisa kama utatumia simu. Napendekeza mrudi kwenye mpangilio wa mwanzo hadi mtakapokuwa na mfumo rafiki kw sisi watumiaji. Nilijaribu kushauri hili tangu mwanzo tu mlipofanya mabadiliko na nashukuru email yangu mlijibu kwamba mtafanyia kazi lakin bado.
Asanteni
IMG_20180518_215647_174.JPG
 
Kila technical director na directors waende phisically BRELA na Tin zao.
Haiwezekani watu Watumie Cv na vyeti vya watu kupiga hela ilihali wenye vyeti wanasurubika mtaani.
Kiukweli kuna Technical Directors na Directors hewa.
BRELA katika hili mnahitajika kuhakiki sio kwa Mtandao bali kureshuffle registration.
 
Natumia simu kujaribu kujisajili na mfumo huu mpya yaani kero tupu, password inagoma kwa kila aina ninayoweka, kunasehemu za majina na gender hazipo active na ni mandatory kuzijaza yaani siku nzima leo nimeshindwa fanya lolote, mwenye uelewa naomba msaada
 
Back
Top Bottom