Wana JF kwa kweli tunahitaji kuwa na mabadiliko ya kweli tunahitaji kuleta mada ambazo zitaimarisha mahusiano, zitadumisha upendo na mwisho kila mmoja awe na ndoa nzuri vinginevyo tutachangia hoja zisizo na manufaa kwenye mapenzi mwisho wa siku tunaharibu badala ya kujenga, kuna hoja zinapaswa kwenda kwenye jokes we need something serious here siku njema:usa: