Mabafu mengi yana kazi gani kwenye majumba ya kifahari?

Mabafu mengi yana kazi gani kwenye majumba ya kifahari?

musicarlito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2020
Posts
368
Reaction score
556
Nimetoka nasoma habari chanzo BBC..." Michael Jordan" anahangaika kuuza jumba lake la kifahari lenye vyumba 9 na mabafu 19[emoji23]...mabafu mengi kuliko vyumba

Wajuvi mnisaidie haya mabafu yote kazi yake ya nini na kwanini yanakua mengi kuliko vyumba vya kawaida...na wakati mwingine yamekua kama fajati ya nyumba...yaani kwetu ukosema nyimba na Self master room 3 ...wenzetu hujivunia mabafu...kwanini

Nawasilisha
 
Jordan anatembelewa na wageni wengi,nnahisi ndio sababu, kusiwe na ule uswahili wa kusubiriana mtu akitoka toi,kifupi Ni swala la Hygiene tu, nadhani wazungu wanataka kusiwe na ile bafu litumiwe na watu kumi bila kusafishwa
 
Nimetoka nasoma habari chanzo BBC..." Michael Jordan" anahangaika kuuza jumba lake la kifahari lenye vyumba 9 na mabafu 19[emoji23]...mabafu mengi kuliko vyumba

Wajuvi mnisaidie haya mabafu yote kazi yake ya nini na kwanini yanakua mengi kuliko vyumba vya kawaida...na wakati mwingine yamekua kama fajati ya nyumba...yaani kwetu ukosema nyimba na Self master room 3 ...wenzetu hujivunia mabafu...kwanini

Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu hiyo sio nyumba ya kawaida kama ambazo tunaishi au kujenga sisi watu wa kawaida...

Ukubwa wa hizo nyumba za kifahari za watu maarufu unaweza ukaulinganisha na shopping mall...

Mathalani hiyo nyumba ya MJ ya Chicago, ina mita za mraba 29825 (huu ni ukubwa unaolingana na Mlimani City Mall ya Dar es Salaam)

Kuna ukumbi wa sinema, gym, uwanja wa tenisi, uwanja indoor ya basketball (full court)...sasa hizo gym, kumbi, viwanja vyote vinakuwa na mabafu/vyoo yake...
 
Jordan anatembelewa na wageni wengi,nnahisi ndio sababu, kusiwe na ule uswahili wa kusubiriana mtu akitoka toi,kifupi Ni swala la Hygiene tu,nadhani wazungu wanataka kusiwe na ile bafu litumiwe na watu kumi bila kusafishwa
Ingekuwa hvyo basi wasinge share swimming pool
 
Ukiwa na pesa utagundua Kula hakuhitaji ule milo mi 3 kwa siku

Ukiwa na pesa utagundua kiwanja cha 20x20 kinatosha sana kujenga dream house

Ukiwa na pesa utagundua nyumba haihitaji bafu 1 au mawili tu yaliyo master rooms na 1 public..

Ukiwa na pesa utagundua nyumba haiezekwi kwa BATI tu,kuna vioo unaweza laza juu ya nyumba ukawa kama upo nnje.

Umaskini ni ulemavu mkuu,kuna mengi sana hutoyafahamu kama ukiwa maskini,Maisha yanahitaji pesa sana ili uweze fungua password za kila jambo chini ya jua.

Hao wenzetu wana Pesa wala usiulize maswali kwanini iwe hivi ama vile,na sisi tuzifatute tu hatuna namna mkuu.
 
Hata mimi hili swali niliwahi kujiuliza,ila nimepitia comments nimeanza kuelewa
 
Ukiwa na pesa utagundua Kula hakuhitaji ule milo mi 3 kwa siku

Ukiwa na pesa utagundua kiwanja cha 20x20 kinatosha sana kujenga dream house

Ukiwa na pesa utagundua nyumba haihitaji bafu 1 au mawili tu yaliyo master rooms na 1 public..

Ukiwa na pesa utagundua nyumba haiezekwi kwa BATI tu,kuna vioo unaweza laza juu ya nyumba ukawa kama upo nnje.

Umaskini ni ulemavu mkuu,kuna mengi sana hutoyafahamu kama ukiwa maskini,Maisha yanahitaji pesa sana ili uweze fungua password za kila jambo chini ya jua.

Hao wenzetu wana Pesa wala usiulize maswali kwanini iwe hivi ama vile,na sisi tuzifatute tu hatuna namna mkuu.
Hili nalo neno,
umaskini Ni laana.
Eeh Mungu nijalie rizki[emoji4][emoji106]
 
Mie nyumba yangu ina sebule mbili, dinning moja, jiko moja, vyumba vya kulala vitatu, mabafu manne, corridor mbili, stair cases mbili, vibaraza vitano, store moja, sehemu ya kufulia moja, sehemu ya kunyooshea moja na coffee bar moja!
Ramani wakati mwingine huwa 'inajichora yenyewe' tu!
 
Sebuleni Kuna bafu, swimming pool Kuna bafu , outdoors Kuna bafu,chumba Cha mazoezi Kuna bafu, ofisini Kuna bafu,studio Kuna bafu ,
Sio umebanwa mpaka uende chumba Cha kulala kujisaidia huo ndio umaskini sasa
Hadi dinning kuna bafu siyo unashindilia msosi ukizidiwa unakimbilia room
 
Ukiwa na pesa utagundua Kula hakuhitaji ule milo mi 3 kwa siku

Ukiwa na pesa utagundua kiwanja cha 20x20 kinatosha sana kujenga dream house

Ukiwa na pesa utagundua nyumba haihitaji bafu 1 au mawili tu yaliyo master rooms na 1 public..

Ukiwa na pesa utagundua nyumba haiezekwi kwa BATI tu,kuna vioo unaweza laza juu ya nyumba ukawa kama upo nnje.

Umaskini ni ulemavu mkuu,kuna mengi sana hutoyafahamu kama ukiwa maskini,Maisha yanahitaji pesa sana ili uweze fungua password za kila jambo chini ya jua.

Hao wenzetu wana Pesa wala usiulize maswali kwanini iwe hivi ama vile,na sisi tuzifatute tu hatuna namna mkuu.
Umepasuka sana mkali...
Ukiwa na hela ndio utaelewa kwann nyumba inatakiwa kila chumba kiwe na choo na bafu lake...
Nmeangalia movie flan ya kimarekani jamaa anashangaa how a family of four kids wife and husband iwe na vyumba vinne...yani alitegemea iyo nyumba iwe na vyumba saba au nane sasa jiulize uku kwetu mwenye hela anakua na nyumba ya aina gani uone vile bado tunazingua
 
Sebuleni Kuna bafu, swimming pool Kuna bafu , outdoors Kuna bafu,chumba Cha mazoezi Kuna bafu, ofisini Kuna bafu,studio Kuna bafu ,
Sio umebanwa mpaka uende chumba Cha kulala kujisaidia huo ndio umaskini sasa
Bado hayafiki 19
 
Nimetoka nasoma habari chanzo BBC..." Michael Jordan" anahangaika kuuza jumba lake la kifahari lenye vyumba 9 na mabafu 19[emoji23]...mabafu mengi kuliko vyumba

Wajuvi mnisaidie haya mabafu yote kazi yake ya nini na kwanini yanakua mengi kuliko vyumba vya kawaida...na wakati mwingine yamekua kama fajati ya nyumba...yaani kwetu ukosema nyimba na Self master room 3 ...wenzetu hujivunia mabafu...kwanini

Nawasilisha
Anaishi na alliens
 
Back
Top Bottom