Mabaharia hapa tuna solve vp?

Mabaharia hapa tuna solve vp?

baharia amechoma kambi, kanuni ni kukataa tu bora useme hiyo sauti sio ya kwako.
 
😂😂😂😂hapo shetani mwenyewe kashituka😂😂😂
 
Sheria ya Mwaka 1777, kifungu cha 234 a, be na che kinasema BAHARIA MARUFUKU KUKUBALI KOSA HATA KAMA KUNA USHAHIDI mwisho wa kunukuu
 
"Babe you are my girlfriend and my wife".
 
Back
Top Bottom