Mabaharia tu piteni hapa

.yani mm nikataaje na wala siuliz katoa wap...we jaribu kunitumia na usisahau na ya kutolea kwani makato yameongezwa
Hizi ni chembe chembe za umarioo mkuu, eti huulizi kapata wapi [emoji3] [emoji3] ,shauri yako anahongwa huko naye anakuletea ,so mnahongwa 2 na huyo mhongaji[emoji12] [emoji12]
 
Hizi ni chembe chembe za umarioo mkuu, eti huulizi kapata wapi [emoji3] [emoji3] ,shauri yako anahongwa huko naye anakuletea ,so mnahongwa 2 na huyo mhongaji[emoji12] [emoji12]
Nami nahonga,na ninayemhonga anamuhonga anayemhonga...yani inakua Vicious Circle... Pia
Umarioo sijui kuitwa bwege mi sawa tu...yani mimi na Formula moja tu...nafanya nipendacho mimi na si mtu wala jamii...yani raha jipe mwenyewe ...kama unahitaji wa kuhonga nipo but 2023 nagunga ndoa..kijijini kwetu milimani...,
 
Mimi si mdau wa kununua ila nmeufaham kuna jamaa yangu alimuita mmoja akamla na hakumlipa akameongopea crdb sim banking mtandao unasumbua[emoji1787][emoji1787]
Kha huyo sio baharia aisee. Unadhulumu mpaka uchi?
 
Sawa baba sauti imetosha kabisa nimekuskia, ndoa njema hiyo 2023 usisahau kunialikaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…