Mwenyekit mwana fa ....Nipeni uenyekiti
[emoji3]
[emoji3]
Wanachama wengi wa chama hichi Wana dual-membership, ni wanachama pia wa chaputa
Mwenyekit mwana fa ....
Kwa niaba ya mabahili naomba utengue kauli,kauli yako bado haijawekwa kwenye hansad zetu za mabahiliWanachama wengi wa chama hichi Wana dual-membership, ni wanachama pia wa chaputa
TupoooooWale wote tusiokubali kuchunwachunwa au kupigwa mizinga na wanawake tukutane hapa kwa lengo la kujadili mbinu mpya na kufanyia maboresho mbinu tuzitumiazo za kujikinga dhidi ya kupigwa mizinga kirahisirahisi na hawa wanawake.
Mfumo dume lazima uenziwe na uabudiwe kwa namna yeyote ile,tusikubali kurudishwa nyuma
Karibuni mabahili wenzangu
hahahaha kuna jamaa yangu bahili hatari,ye dau lake mwisho elfu 20000,Yaan yeye huwa hajal wewe ni mzuri kiasi gani,hiyo ndio limit yake ya kuonga, Kuna bint mmoja mrembo wa haja waliingia ktk uhusiano na huyu jamaa,kabla mambo hayaja kaa sawa akapigwa mzinga wa 50000 jamaa akatoa 10000,yule bint alisononeka sana,akidai amedharauliwa sana. Uhusiano uliisha siku hyo [emoji23]. Tukiwa chuo alimpenda bint mmoja wa kimanga,aisee yule demu alikula 60000;na jamaa alikuwa anarecord,siku aliyopewa mzigo ndio uhusiano ulipoisha [emoji23] [emoji23] [HASHTAG]#Teambahilioyeeeee[/HASHTAG]Wale wote tusiokubali kuchunwachunwa au kupigwa mizinga na wanawake tukutane hapa kwa lengo la kujadili mbinu mpya na kufanyia maboresho mbinu tuzitumiazo za kujikinga dhidi ya kupigwa mizinga kirahisirahisi na hawa wanawake.
Mfumo dume lazima uenziwe na uabudiwe kwa namna yeyote ile,tusikubali kurudishwa nyuma
Karibuni mabahili wenzangu
Hichi chama wapo waliooa na wasiooa ilimradi mwenzio hakupelekipeleki kijinga,Kwa vigezo gani? Keshaoa yule amevurugwa tayari
hahahaha kuna jamaa yangu bahili hatari,ye dau lake mwisho elfu 20000,Yaan yeye huwa hajal wewe ni mzuri kiasi gani,hiyo ndio limit yake ya kuonga, Kuna bint mmoja mrembo wa haja waliingia ktk uhusiano na huyu jamaa,kabla mambo hayaja kaa sawa akapigwa mzinga wa 50000 jamaa akatoa 10000,yule bint alisononeka sana,akidai amedharauliwa sana. Uhusiano uliisha siku hyo [emoji23]. Tukiwa chuo alimpenda bint mmoja wa kimanga,aisee yule demu alikula 60000;na jamaa alikuwa anarecord,siku aliyopewa mzigo ndio uhusiano ulipoisha [emoji23] [emoji23] [HASHTAG]#Teambahilioyeeeee[/HASHTAG][/QUOTE
Huyo jamaa nadhani atatufaa katika kitengo cha usemaji wa mabahili ili kujua angalau kwa siku nzima bahili yupi ameweza kusave kias kingi kutokana na kukwepa mishale ya mizinga