Katibukata
Senior Member
- Dec 27, 2007
- 182
- 11
Katibu Kata....kama mabaka hayo (especially kama ni meusi) yapo kwenye mguu mmoja tu na hayajasambaa mguu mzima, na kama umri wako ni miaka 40 au zaidi...tafadhali timua mbio kwa daktari (surgeon) akucheki na ahakikishe kwamba sio Malignant Melanoma!