Mabalozi wa mashina karibuni kwenye mkutano maalumu jimbo la Mufindi Kusini

Mabalozi wa mashina karibuni kwenye mkutano maalumu jimbo la Mufindi Kusini

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kusini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile anawakaribisha Mabalozi wote wa mashina na wajumbe mkutano mkuu wa jimbo la Mufindi Kusini kwenye Mkutano Maalumu wa Jimbo utakaofanyika Jumamosi hii Oktoba 05, 2024 kwenye Viwanja vya Igowole Shule ya Msingi. Mgeni rasmi kwenye shughuli hii kubwa ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu John Mongella.
IMG-20241003-WA0029.jpg
 
Back
Top Bottom