Mkulu Kidatu,
Heshima mbele kaka, habari yako ina walakini maana ni sasa hivi ndio nimemaliza kuongea na Balozi Francis Malambugi, hana habari zozote za yeye kuchaguliwa kuwa balozi wetu SA, yeye bado ni Balozi Mkurugenzi wa Africa, pale Foreign,
Sasa either rekebisha habari yako au ukubali kuwa umekurupuka, kwangu binafsi a lesson learned.
Ahsante Mkuu.