Mabanda ya kufuga Nguruwe yanakodishwa Moshi

rr4

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
3,797
Reaction score
5,510
Wakuu salaam,

Moja kwa moja kwenye topic. JE wewe una ndoto za ufugaji na hauna Banda?

Je, wewe ni mfanyakazi unayefanya kazi Moshi mjini au vijijini na hauna sehemu ya kufugia?
Kodisha mabanda haya kwa ufugaji wa kuku au Nguruweb(na la ng'ombe pia lipo) kwa Bei tutakayokunaliana.
Pia Kuna room ya mfanyakazi wako na geti.

TIMIZA NDOTO ZAKO ZA UFUGAJI UKIWA MOSHI BILA KUWA NA ENEO.

KARIBUNI.



Maeneo ni katikati ya Sango na Kiborilini
 
WATU wa Kilimanjaro mko wapi?
 
Mbona hovyo sana!
Huoni aibu kuletea uchafu kama huu JF
Vipi unataka yaekwe tiles... Kuku wewe, pengine hujawahi hata kufuga njiwa. Kitu kama si saizi yako achana nacho. Nyie ndo wale mnapiga picha nyumba za WATU na mahotelini na kupost. Fk kabisa. Unataka mifugo ifugiwe mazingira Gani? Pmbv
 
Umbali gani kutoka barabara kuu ya lami Moshi mjini - Kiboriloni - Sango - Himo....?
 
Mita 300 toka kituo Cha UFUNDI ( MDAWI YA UFUNDI).... UNASHUKA CHINI KAMA UNAENDA KANISA LA KKKT.....
 
Pia Kuna chumba Cha mfanyakazi....
 
Umbali gani kutoka barabara kuu ya lami Moshi mjini - Kiboriloni - Sango - Himo....?
Mita 300 toka kituo Cha UFUNDI ( MDAWI YA UFUNDI).... UNASHUKA CHINI KAMA UNAENDA KANISA LA KKKT.....

Quote
 
Ngoja waje wafugaji wa Moshi
 
Mabanda yamechoka sana Mkuu. Very Poor product that an interest buyer can opt to buy.
 
Bei gani kwa mwezi mkuu

Kuna umeme na maji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…