Mabango Mengine Nayo!!!

Mabango Mengine Nayo!!!

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
23,265
Reaction score
17,120
draft_lens5323752module45068432photo_1247134604funny_road_signs_make_left.jpg


iraq-roadsigns.jpg


road-signs.jpg


s9.bmp
 
Hili la mwisho sijaelewa kabsaaa!
 
Ni sawa na muuza majeneza nae aweke bango KARIBU TENA
 
safi sana, hata huku kwetu wangetuwekea kwenye mitaa ya dada zetu!!
 
Ahahaaaaaah nimelipenda hilo eti "Thank You For Your Suffering"
 
Uzuri wa wenzetu wapo very candid and obvious! Sio sisi huku kwetu...machangu kibao and tunakula nao daily....lakini infidal politicians wawapo bungeni hawataki kuhalalisha dadapoa business....but wanawahonga hadi ma-benz!!!..... Bora hata biashara hiyo ingehalalishwa....then hayo ma-benzi wanayohongwa yakatozwa kodi.....


Attention-Prostitutes.bmp
 
Hilo la pili nimelipenda - ila wangeweka pia No kushika makalio
 
Back
Top Bottom