Elections 2010 Mabango ya CCM na haki za raia

Mkombozi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2008
Posts
844
Reaction score
476
Najua kua humu ndani kuna wanasheria waliobobea.Hivi CCM inapoamua kumpiga mtu au kundi la watu picha na kuamua kuweka publically kwenye mabango yao na bila ridhaa ya watu husika kwa manufaa ya chama na sii taifa.Je watu hawa waliotendewa sivyo,wana haki gani kisheria?Kwnini picha za watu zitolewe bila ridhaa zao?Je wanaweza kudai fidia?Wanasheria mpo hapo?Tusaidieni
 
mkuu unataka ukadai nini?
 
Kuna rafiki yangu kaniambia kwamba jamaa yake mmoja anaonekana katika mojawapo ya bango la JK jijini hapa na hependi hivyo maana anaona amedhalilishwa. Anasema angalau angeombwa ruhusa kwanza.

Huyu mtu ni basi ashukuru Mungu tu, au anaweza kudai fidia kwa kudhalilishwa?
Anasema alipopigwa picha hiyo hakujua hatimaye itatumika katika mambo ya chama -- kampeni za JK.
 
kwa hiyo ccm wanachakachua hadi watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…