Yale mabango yaliomwaga kila kona ya mji na kukera kila anaepita si mtoto waa mkubwa yakiwa na mapicha ya ukubwani /utototni/ ya rais kikwete sasa yameanza kuondolewa rasmi...mabango haya yalianza kufumuliwa barabara jangwani jana na kuhitimisha yale matatizo yaliokuwepo
Mtasema sana lakini ukweli utaendelea kubaki: CCM ITASHIND AKWA KISHINDEO. Nyie wote manoichukia CCM itabidi muingie uvunguni mwa meza kuugulia maumivu.
Nimefurahishwa sana na CCM na ukuaji wa Demokrasia jana usiku niliona jinsi walivyokuwa busy kuyatoa... this is a good.
Mtasema sana lakini ukweli utaendelea kubaki: CCM ITASHIND AKWA KISHINDEO. Nyie wote manoichukia CCM itabidi muingie uvunguni mwa meza kuugulia maumivu.
Hasa yale yanayoonyesha kikwete anamsikiliza bibi kizee mmoja yalikuwa yananikera sana. hiyo ni typically tabia ya kifisadi. watanzania tumerubuniwa kiasi cha kutosha.
Nilikuwa naweweseka usiku! Yalikuwa yananijia kama zimwi gani vile -- ile miwani!!!!!!