Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Uchaguzi ulikwisha.
Na kwa bahati mbaya sana Mungu alimpenda zaidi tuliyempenda, hivyo sio vema kuendelea kuona sura yake ikipiga kampeni kwa picha zile za unyenyekevu.
Kwa Dar es Salaam hili lilifanyika punde tu parapanda ilipolia, sijui ni kwamba hawakumhitaji tena au zile nguzo zilipangiwa kazi nyingine.
Nimetembea mikoa kadhaa na kushuhudia bado mabango yapo, hii haileti picha nzuri. Anastahili kupumzika kwa heshima.
Kuendelea kuanika sura yake ikiwa katika unyenyekevu ule wa kuomba kura ni utani mkubwa kwake.
Apumzike kwa amani, Dr. JPM.
Na kwa bahati mbaya sana Mungu alimpenda zaidi tuliyempenda, hivyo sio vema kuendelea kuona sura yake ikipiga kampeni kwa picha zile za unyenyekevu.
Kwa Dar es Salaam hili lilifanyika punde tu parapanda ilipolia, sijui ni kwamba hawakumhitaji tena au zile nguzo zilipangiwa kazi nyingine.
Nimetembea mikoa kadhaa na kushuhudia bado mabango yapo, hii haileti picha nzuri. Anastahili kupumzika kwa heshima.
Kuendelea kuanika sura yake ikiwa katika unyenyekevu ule wa kuomba kura ni utani mkubwa kwake.
Apumzike kwa amani, Dr. JPM.