NKUU SINDE KWETU
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 830
- 91
Salaam JF!
Tanzania hivi sasa kuna staili mpya ya kupata Fedha! Huhitaji kutumia nguvu bali ni kucheza na akili ya mtu.
Kila unapopita utakuta tangazo la mganga wa kienyeji na wanaweka na namba zao za simu. Mpaka huku kwetu Nkuu siku hizi wapo..
Magonjwa wanayotibu sasa: Kumvuta mpenzi aliye mbali, kuongeza hips, makalio, kulipiza kisasi, kuongeza akili za darasani...etc kazi kweli kweli..
Kila mganga anaandika anatoka Sumbawanga, Tanga, Kigoma, Pemba....
Hivi serikali iko wapi wakuu,,??
Au sio kero kwa Jamii??
NKUU SINDE, Nduguyenu..
Tanzania hivi sasa kuna staili mpya ya kupata Fedha! Huhitaji kutumia nguvu bali ni kucheza na akili ya mtu.
Kila unapopita utakuta tangazo la mganga wa kienyeji na wanaweka na namba zao za simu. Mpaka huku kwetu Nkuu siku hizi wapo..
Magonjwa wanayotibu sasa: Kumvuta mpenzi aliye mbali, kuongeza hips, makalio, kulipiza kisasi, kuongeza akili za darasani...etc kazi kweli kweli..
Kila mganga anaandika anatoka Sumbawanga, Tanga, Kigoma, Pemba....
Hivi serikali iko wapi wakuu,,??
Au sio kero kwa Jamii??
NKUU SINDE, Nduguyenu..