Mabaraza ya katiba

Ngambo Ngali

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2009
Posts
3,517
Reaction score
1,363
Nimepitia sheria ya mabadiliko ya katiba kuona haya mabaraza yanaanzishwa chini ya kifungu gani cha sheria nimeshindwa kupata. Nimejaribu pia, kutafuta mabaraza haya yakakuwa composed na watu gani na kazi zake hasa ni nini , nimeshindwa kupata. Nimejaribu kufikiria wajumbe wa mabaraza hayo watateuliwa na nani bado sijapata jibu.

Wanajamvi mwenye uelewa wa hili jambo naomba anifafanulie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…