kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,594
- 1,462
Salaam wadau, kama kichwa Cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Naomba kufahamu ni mabasi gani mtu unasafiri comfortable zaidi toka Dar kwenda Mwanza. Pia nauli zake kwa sasa.
Natanguliza shukrani. [emoji120][emoji120][emoji120]
Naomba kufahamu ni mabasi gani mtu unasafiri comfortable zaidi toka Dar kwenda Mwanza. Pia nauli zake kwa sasa.
Natanguliza shukrani. [emoji120][emoji120][emoji120]