Mabasi kulipuka na kuwaka moto kiufundi chanzo ni nini?

Mabasi kulipuka na kuwaka moto kiufundi chanzo ni nini?

mpimamstaafu

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
4,445
Reaction score
4,707
Wadau nikiwa mtumiaji mkubwa wa mabasi ya abiria yaendayo mikoani nimeanza kupata hofu kutokana na wimbi la mabasi hayo kulipuka na kuwaka moto na kusababisha vifo na upotevu mkubwa wa mali.

Nawaomba watalaamu wa masuala ya magari pamoja na vyombo husika vifanye uchunguzi sababu za mabasi hayo kulipuka na kuwaka moto.

Vile vile wawasiliane na watengenezaji wa magari hayo inawezekana hali ya hewa ya nchi zetu ikawa chanzo.
 
Gar Nzur n scania hizo yutong n hovyo ukipanda tu lazima ujiandae Kwa kila kitu

Na mara nyingi moto wa Yutong huanzia kwenye matairi sijui ni sababu ipi ya kitaalamu, inabidi ukisafiri na Bus ya Yutong basi nunua na ka fire extinguisher ka kilo moja kawe kwenye mapaja kwa lolote litakalotokea
 
Kwa uelewa wa kawaida Yotong Blake system yake inashikia kwny disc, scania na gari nyingine za zaman zinatumia mfumo wa upepo
 
Na mara nyingi moto wa Yutong huanzia kwenye matairi sijui ni sababu ipi ya kitaalamu, inabidi ukisafiri na Bus ya Yutong basi nunua na ka fire extinguisher ka kilo moja kawe kwenye mapaja kwa lolote litakalotokea
Mkuu mm sjawah kuwaamin wachina na stawah kuwaamin Hawa jamaa wakogo kimaslahi Sana hizo gar hazina ubora kabisa n janga
 
Mkuu mm sjawah kuwaamin wachina na stawah kuwaamin Hawa jamaa wakogo kimaslahi Sana hizo gar hazina ubora kabisa n janga

Yaelekea wewe utakuwa umekula limbwata la inchi zilizotutawala, mimi nilitolewa ushamba na Bosi wangu pale nilipomuagiza akaninunulie simu ya Nokia, Aple mini ipad na ipod kutoka kwao AUS, kweli aliniletea lakini vyote vikawa vimetengenezwa China, Nilipouliza akaniambia China product ndio best number one kule kwao.... siku ya siku nikakuta simu kama yangu dukani kwa mswahili mwenzangu na ilikuwa inauzwa kama 60,000/= hivi ndipo nilipochoka kwani ilikuwa ni ngumu sana kuitofautisha na ile yangu pamoja na kufanana Model na kila kitu, nilipochunguza sana nikaambiwa wachina wanatengeneza product za kuuza ulaya na kuna za Africa....wao nao wanasema "hapa pesa tu"
 
Kwa uelewa wa kawaida Yotong Blake system yake inashikia kwny disc, scania na gari nyingine za zaman zinatumia mfumo wa upepo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii chai ya mbao mkuu yani FIX.
 
Kwa uelewa wa kawaida Yotong Blake system yake inashikia kwny disc, scania na gari nyingine za zaman zinatumia mfumo wa upepo
Huyajui magari weye! Waongopa kweupeeee! Scania model ya Marcopolo zinatumia disc pia. Mbona haziwaki ovyo?
 
Shida kubwa.na chanzo kikubwa cha moto huwa ni systerm ya bleki..

Hasa kubwa zikishafanyiwa service kwanza wengi huwa wanafunga bleki za kubandika hapa unakuta wanachagua material magum sana tofauti na original yake..harafu pia huwa wanaweka size kubwa so ukiziweka lazima zinakuwa zinajam..

Na ukichanganya gari za kisasa lkn zinatengenezwa kizamani hapo ndio shida hutokea..bleki zinajam zinapata moto mwishowe moto..
 
Isije ikawa yutong hizo, zile Scania zetu hazikuwa na hii tabia
IMG_20181026_115354_295.jpg
 
Scania nazo zinaungua lakini Yutong imezidi.Mbona Zhong Tong,Golden Dragon,Higer haziungui?
 
Samahan dada, mbona umeanza kwa matus huku sijakujib ww, had sa hv ukiwa siku zako unakuwaga na hasira dada mwatatu
 
Siku nyingine jib mada moja kwa moja usishambulie personality ya mchangiaj mwingine
 
Back
Top Bottom