mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Gar Nzur n scania hizo yutong n hovyo ukipanda tu lazima ujiandae Kwa kila kitu
Mkuu mm sjawah kuwaamin wachina na stawah kuwaamin Hawa jamaa wakogo kimaslahi Sana hizo gar hazina ubora kabisa n jangaNa mara nyingi moto wa Yutong huanzia kwenye matairi sijui ni sababu ipi ya kitaalamu, inabidi ukisafiri na Bus ya Yutong basi nunua na ka fire extinguisher ka kilo moja kawe kwenye mapaja kwa lolote litakalotokea
Mkuu mm sjawah kuwaamin wachina na stawah kuwaamin Hawa jamaa wakogo kimaslahi Sana hizo gar hazina ubora kabisa n janga
Pumba kabsa, inawezekana hujui hata ulichoandika pimbi kimambi weweKwa uelewa wa kawaida Yotong Blake system yake inashikia kwny disc, scania na gari nyingine za zaman zinatumia mfumo wa upepo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii chai ya mbao mkuu yani FIX.Kwa uelewa wa kawaida Yotong Blake system yake inashikia kwny disc, scania na gari nyingine za zaman zinatumia mfumo wa upepo
Pumba kabsa, inawezekana hujui hata ulichoandika pimbi kimambi wewe
Huyajui magari weye! Waongopa kweupeeee! Scania model ya Marcopolo zinatumia disc pia. Mbona haziwaki ovyo?Kwa uelewa wa kawaida Yotong Blake system yake inashikia kwny disc, scania na gari nyingine za zaman zinatumia mfumo wa upepo
Isije ikawa yutong hizo, zile Scania zetu hazikuwa na hii tabia
Gar Nzur n scania hizo yutong n hovyo ukipanda tu lazima ujiandae Kwa kila kitu
AiseeKwa uelewa wa kawaida Yotong Blake system yake inashikia kwny disc, scania na gari nyingine za zaman zinatumia mfumo wa upepo
Pumba kabsa, inawezekana hujui hata ulichoandika pimbi kimambi wewe