Mabasi na Daladala waunganishwe na kampuni ziwe tatu tu kwenye huduma ya usafirishaji

Mabasi na Daladala waunganishwe na kampuni ziwe tatu tu kwenye huduma ya usafirishaji

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,013
Reaction score
1,183
U hali gani Mtanzania!

Napenda kutoa wazo kuhusu huduma ya Usafiri hasa Mabasi yaendayo Mikoani na Daladala zinazotoa huduma ndani ya Mikoa katika usafirishaji.

1. Napendekeza wafanyabiashara wawekwe makundi 3 (ziundwe kampuni 3 ) tu ambazo zitatoa huduma hii ya biashara hapa nchini ili kuchochea ukuaji wa hii sekta. Hii itapunguza wingi wa Magari au Vyombo vya moto vibovu na vyenye kuhatarisha usalama wa abiria.

2. Tunataka kodi nzuri na endelevu. Hii ndio njia safi ya kupata hiyo kodi.

3. Kwa mfanyabiashara yoyote atakayewiwa kufanya biashara ya Usafiri wa Umma basi sharti achague miongoni mwa hizo kampuni apige mzigo.

4. Hizi kampuni zote tatu zisajiriwe kwenye soko la Hisa DSE (Dar es Salaam Stock Exchange).

5. Tutapunguza uhuni wa utakatishaji fedha, tutajua idadi ya vyombo vya moto nchini kwa idadi sahihi na kwausawa.

Karibu.
 
5. Tutapunguza uhuni wa utakatishaji fedha, tutajua idadi ya vyombo vya moto nchini kwa idadi sahihi na kwausawa.

Karibu.
Kuna tatizo kubwa la utakatishaji fedha nchini?
Biashara ya mabasi na dalaladala ndio wahusika wakubwa wa utakatishaji fedha?
Kuziunganisha kampuni kunazuiaje utakatishaji fedha?
Idadi ya vyombo vya moto nchini haijulikani kwa usahihi?
 
Kuna tatizo kubwa la utakatishaji fedha nchini?
Biashara ya mabasi na dalaladala ndio wahusika wakubwa wa utakatishaji fedha?
Idadi ya vyombo vya myo nchini haijulikani kwa usahihi?
Inategemea hii sekta unaichukuliaje au unaifahamu kwa uwanda upi.

Ground mambo ni tofauti sana.
 
U hali gani Mtanzania!

Napenda kutoa wazo kuhusu huduma ya Usafiri hasa Mabasi yaendayo Mikoani na Daladala zinazotoa huduma ndani ya Mikoa katika usafirishaji.

1. Napendekeza wafanyabiashara wawekwe makundi 3 (ziundwe kampuni 3 ) tu ambazo zitatoa huduma hii ya biashara hapa nchini ili kuchochea ukuaji wa hii sekta. Hii itapunguza wingi wa Magari au Vyombo vya moto vibovu na vyenye kuhatarisha usalama wa abiria.

2. Tunataka kodi nzuri na endelevu. Hii ndio njia safi ya kupata hiyo kodi.

3. Kwa mfanyabiashara yoyote atakayewiwa kufanya biashara ya Usafiri wa Umma basi sharti achague miongoni mwa hizo kampuni apige mzigo.

4. Hizi kampuni zote tatu zisajiriwe kwenye soko la Hisa DSE (Dar es Salaam Stock Exchange).

5. Tutapunguza uhuni wa utakatishaji fedha, tutajua idadi ya vyombo vya moto nchini kwa idadi sahihi na kwausawa.

Karibu.
Kwa hiyo kwenye hizo kampuni tatu kutakuwa na Meneja Mkuu, Chief Accountant, HR Manager, Fundi Mkuu na wafanyakazi kibao wa ndugu na jamaa. Kifuatacho gharama za uendeshaji zitaongezeka hivyo kudai nauli ziongezeke. Jifunze toka mwendo kasi UDART. Competition inazalisha huduma bora na nafuu kwa mteja
 
mr masalu hapa umeandika pumba. hii mentality technically ina harufu ya kimaskini
Hii nchi lazima iwe na utaratibu. Hii Sekta ikisimamiwa vizuri na ikabireshwa vizuri itachochea pato la taifa na ukuaji wa kipato wa hawa Wafanyabiashara wetu. Matamanio yetu kama taifa tuweze kudominate Soko la Afrika Mashariki na Kati kwa kuwa na Makampuni Imara na mazuri ya Usafirishaji.
 
Kwa hiyo kwenye hizo kampuni tatu kutakuwa na Meneja Mkuu, Chief Accountant, HR Manager, Fundi Mkuu na wafanyakazi kibao wa ndugu na jamaa. Kifuatacho gharama za uendeshaji zitaongezeka hivyo kudai nauli ziongezeke. Jifunze toka mwendo kasi UDART. Competition inazalisha huduma bora na nafuu kwa mteja
UDART unazani wapo serious basi. Wakiamua hata leo stories inabadilika hapo Dar es Salaam brother.

Kitaalamu ushindani ni kuanzia kundi 3 na kiendelea.

Ukumbuke tutazuia wahuni wasioitakia mema hii Sekta ya Usafiri wa Umma
 
Hii nchi lazima iwe na utaratibu. Hii Sekta ikisimamiwa vizuri na ikabireshwa vizuri itachochea pato la taifa na ukuaji wa kipato wa hawa Wafanyabiashara wetu. Matamanio yetu kama taifa tuweze kudominate Soko la Afrika Mashariki na Kati kwa kuwa na Makampuni Imara na mazuri ya Usafirishaji.
Utaratibu gani ambao unaona umekosekana sasa hivi?
Sasa hivi hii sekta haichangii pato la taifa na ukuaji kipato?
Kwa nini shirika la ndege la ATCL limeshindwa ku dominate soko la Afrika Mashariki?
 
Kwa hiyo kwenye hizo kampuni tatu kutakuwa na Meneja Mkuu, Chief Accountant, HR Manager, Fundi Mkuu na wafanyakazi kibao wa ndugu na jamaa. Kifuatacho gharama za uendeshaji zitaongezeka hivyo kudai nauli ziongezeke. Jifunze toka mwendo kasi UDART. Competition inazalisha huduma bora na nafuu kwa mteja
Ushaona fursa sio. Tunataka Sekta iliyomakini katika kutoa huduma. Hii itatufanya kama taifa tujue hii Sekta tunaisimamia vizuri
 
U hali gani Mtanzania!

Napenda kutoa wazo kuhusu huduma ya Usafiri hasa Mabasi yaendayo Mikoani na Daladala zinazotoa huduma ndani ya Mikoa katika usafirishaji.

1. Napendekeza wafanyabiashara wawekwe makundi 3 (ziundwe kampuni 3 ) tu ambazo zitatoa huduma hii ya biashara hapa nchini ili kuchochea ukuaji wa hii sekta. Hii itapunguza wingi wa Magari au Vyombo vya moto vibovu na vyenye kuhatarisha usalama wa abiria.

2. Tunataka kodi nzuri na endelevu. Hii ndio njia safi ya kupata hiyo kodi.

3. Kwa mfanyabiashara yoyote atakayewiwa kufanya biashara ya Usafiri wa Umma basi sharti achague miongoni mwa hizo kampuni apige mzigo.

4. Hizi kampuni zote tatu zisajiriwe kwenye soko la Hisa DSE (Dar es Salaam Stock Exchange).

5. Tutapunguza uhuni wa utakatishaji fedha, tutajua idadi ya vyombo vya moto nchini kwa idadi sahihi na kwausawa.

Karibu.
Nchi yetu inahitaji kutoka katika kuitegemea kampuni Moja au serikali kua inaendesha shughuli zote za kiuchumi. Sekta binafsi ni muhimu kukuza uchumi wa watu.

Kuweka makampuni kwenye basket Moja ni kuminya ubunifu wa huduma za usafiri
 
Nchi yetu inahitaji kutoka katika kuitegemea kampuni Moja au serikali kua inaendesha shughuli zote za kiuchumi. Sekta binafsi ni muhimu kukuza uchumi wa watu.

Kuweka makampuni kwenye basket Moja ni kuminya ubunifu wa huduma za usafiri
Kwasasa ambako hakuna hayo makampuni kuna ubunifu gani ambao wewe unauona rafiki?

Lazima tuilinde Sekta hii kwa wivu mkubwa. Leo hii tajiri (mfanyabiashara) akifa na biashara inakufa au kufirisika kwa uzembe wa usimamizi, sasa hii kitu haifai kuiangalia kiuchoyo rafiki.
 
Hii nchi inahitaji reforms kwa Sekta ya Usafiri ili ikae sawa.
Tazama sasa wimbi hili la changamoto ya usafiri kuwa kubwa hapa nchini.
 
U hali gani Mtanzania!

Napenda kutoa wazo kuhusu huduma ya Usafiri hasa Mabasi yaendayo Mikoani na Daladala zinazotoa huduma ndani ya Mikoa katika usafirishaji.

1. Napendekeza wafanyabiashara wawekwe makundi 3 (ziundwe kampuni 3 ) tu ambazo zitatoa huduma hii ya biashara hapa nchini ili kuchochea ukuaji wa hii sekta. Hii itapunguza wingi wa Magari au Vyombo vya moto vibovu na vyenye kuhatarisha usalama wa abiria.

2. Tunataka kodi nzuri na endelevu. Hii ndio njia safi ya kupata hiyo kodi.

3. Kwa mfanyabiashara yoyote atakayewiwa kufanya biashara ya Usafiri wa Umma basi sharti achague miongoni mwa hizo kampuni apige mzigo.

4. Hizi kampuni zote tatu zisajiriwe kwenye soko la Hisa DSE (Dar es Salaam Stock Exchange).

5. Tutapunguza uhuni wa utakatishaji fedha, tutajua idadi ya vyombo vya moto nchini kwa idadi sahihi na kwausawa.

Karibu.
1740657211053.jpeg
 
Asante mjumbe kwa hii picha maridhawa kabisa.
Tatizo hili ni kubwa na linahitaji maamuzi mazuri na yenye tija ili tujitengenezee maisha mazuri (no air pollution, unnecessary traffic congestion, stupidity accidents in the cities nk).
Wahusika karibuni kwa hoja na michango.
Amina.
 
Back
Top Bottom