VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
mi mwenyewe sio mwanafunzi wala mfanyakazi wa crdb lakini nayapanda kwa mia tatu yangu.
ni hivi ngoja nikusaidie mkuu......yale mabasi waliyaleta kwa kigezo cha kubeba wanafunzi ili mradi pale bandarini yasilipie kodi......ikwa kigezo cha kuchukua wanafunzi......ila kwa sasa yale mabasi yanabeba wafanyakazi wa benki ya crdb.....na ule ulikuwa mpango uliondaliwa na wakuuu wa mabenki crdb