Mabasi ya Kichina (Yutong) hayafai kutumika kwenye barabara za Tanzania

Mabasi ya Kichina (Yutong) hayafai kutumika kwenye barabara za Tanzania

JASX

Senior Member
Joined
Aug 26, 2012
Posts
170
Reaction score
130
Husika na mada hapo juu wanaJamiiForums. Huu mwezi nimesifiri na hizi basi ABC upper class ni Yutong na kisbo ina chata ya Higer nimeona utofauti Yutong hazina utulivu barabarani.

Barabara zetu zenye mashimo na vilaka ambavyo haviwekwi kwa ulinganifu hizi basi zinateseka yaani unakuta gari linarukaruka mpaka abiria mnashtuka.

Gari hizohizo zikiwa kwenye barabara mpya unakuta inatembea vizuri bila mitikisiko ya kutisha. Yutong ikipita ikipita kwenye mashimo dereva anavyorukaruka na hicho kiti chake cha mneso duh Mnaohusika kuweka vilaka barabarani Tanroads jitahidini viwe katika hali ya kulingana na rami ya zamani.
 
Kwanini unaichafua nchi? Kwanini wewe sio mzalendo?Kwanini unachafua watetezi wa wanyonge? Alisikika mataga akihoji kwa jazba.
 
Imetengenezwa hivyo kimaalumu kumsaidia dereva asilale anapoendesha kwa mrukoruko huo hawezi sinzia na kusababisha ajali mabasi yote aina zingine waige watengeneze mabasi Kama ya Yutong!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah nimecheka sana. Ili dereve asilale haha
 
Aiseee kwaiyo yanafaa mabasi gani?

Higher la kisbo? Au?

Au shida wew ni mpenzi wa Scania?
 
Shida ni hizi youtong latest, zenyewe zimekuja na configuration ya leaf spring kwenye diff na terias. Leaf spring kwa basi teknolojia ya miaka mingi sana ila mchina anaitumia kwa sababu hatujui kufatilia mambo, version ya nyuma kidogo youtong hizi zilikuja na air suspension kwenye diff na terias
Nafikir youtong wamekutana na copyright issues
 
Yaani kusema ukweli mabasi yote ya china ambayo bongo jamejaa ni takataka kabisa. Sio yutong, higer, kinglong, zhotong sijui, golden dragon yote ni uchafu tu

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom