Mabasi ya mwendo kasi - Naomba mwongozo wa sheria

kubwa_Lao

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
934
Reaction score
1,185
Habari!!
Hivi ni kufungu gani cha sheria ambacho kinatumiwa na sumatra kupanga nauli elekezi kwa daladala za dar lkn unashindwa kuwapangia nauli hawa wa mabasi ya #MwendoKasi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…