KERO Mabasi yanayofanya safari za usiku kutembea kwa mwendokasi mkubwa zinahatarisha usalama wa abiria

KERO Mabasi yanayofanya safari za usiku kutembea kwa mwendokasi mkubwa zinahatarisha usalama wa abiria

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kumekuwa na tabia ya madereva wa mabasi ya usiku kwenda mwendokasi licha ya abiria kupaza sauti, mabasi yamekuwa yakienda kwa mwendo Kasi Hadi 120km/h speed kitu ambacho ni hatari.

Mathalani basi la kampuni ya Cuper Champion linalofanya safari za Moshi - Dodoma limekuwa linaendeshwa kwa kasi ya juu hadi speed ya 120km/h licha ya dereva kuambiwa na abiria.

Tunaomba mamlaka kuweka namna Bora ya kudhibiti speed nyakati za usiku mda ambao traffic police hawapo barabarani
 
Sasa 120km/hr ni mwendo kasi?

Kama hutaki mwendo kasi tembea Kwa mguu
 
Back
Top Bottom