kipusy
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 639
- 323
Habari wananzengo.
Nipo kwenye hatua ya kuweka paa banda langu hapa mbeya mjini.
Nimefanya research ndogo ya hizo product kutoka viwanda vya kukunja mabati hapa mjini mbeya. Ila bado nipo njia panda.
Kuna viwanda vifuatavyo
1. DRAGON MABATI
2. JIA FU LTD
3. MBEYA ROOFING
4. ALAF
Tukianza na dragon- bati zao gage 30 ni nyepesi zinakunjika kirahisi, zinafanana na za jia fu ltd. Wanasema wanaongoza kwa bati bora zisizo na chuma nyingi kama kwingineko.
Jia fu migongo ya bati zao zina depth kubwa hivyo hupunguza width za bati zao pia kwa gage 30 ni nyepesi sana kama dragon
Mbeya roofing wanajifanya wako vizuri kama ALAF, wanasema bati zao hazina chuma nyingi kama kwingineko. Bati zao ni ngumu kukunjika. Hata kwa gage 30 sio nyepesi sana kama dragon na jia fu.
ALAF hawauzi gage 30, ila hiyo gage 28 yao bei ya kuingizana kaburini... Sijaenda huko ila ntaenda kuchek nao nione bati zao zikoje
Natamani niende na sumaku nione magnetic strengths zikoje kwa kila kampuni nijue sasa kiasi cha chuma kilichomo.
Mwenye ufahamu wa kina tafadhali msaada.
Nipo kwenye hatua ya kuweka paa banda langu hapa mbeya mjini.
Nimefanya research ndogo ya hizo product kutoka viwanda vya kukunja mabati hapa mjini mbeya. Ila bado nipo njia panda.
Kuna viwanda vifuatavyo
1. DRAGON MABATI
2. JIA FU LTD
3. MBEYA ROOFING
4. ALAF
Tukianza na dragon- bati zao gage 30 ni nyepesi zinakunjika kirahisi, zinafanana na za jia fu ltd. Wanasema wanaongoza kwa bati bora zisizo na chuma nyingi kama kwingineko.
Jia fu migongo ya bati zao zina depth kubwa hivyo hupunguza width za bati zao pia kwa gage 30 ni nyepesi sana kama dragon
Mbeya roofing wanajifanya wako vizuri kama ALAF, wanasema bati zao hazina chuma nyingi kama kwingineko. Bati zao ni ngumu kukunjika. Hata kwa gage 30 sio nyepesi sana kama dragon na jia fu.
ALAF hawauzi gage 30, ila hiyo gage 28 yao bei ya kuingizana kaburini... Sijaenda huko ila ntaenda kuchek nao nione bati zao zikoje
Natamani niende na sumaku nione magnetic strengths zikoje kwa kila kampuni nijue sasa kiasi cha chuma kilichomo.
Mwenye ufahamu wa kina tafadhali msaada.