Ni gari imara sana na vipuri vinapatikana kirahisi just go for it na fuel consumption yake ni nzuri tu
mkuu kwa cc 2000 fuel consumption haiwezi kuwa nzuri unless nimekariri....!!
asante sana mkuu kwa kunijuzaNi gari imara sana na vipuri vinapatikana kirahisi just go for it na fuel consumption yake ni nzuri tu
Totaly wrong.Ni gari imara sana na vipuri vinapatikana kirahisi just go for it na fuel consumption yake ni nzuri tu
TIQO kumbe noah inateta heshima kitaa eeh! mh bora niikose tu hiyo heshima.
Kweli inaleta HESHIMA kwani yaweza kuwa Chumba,Sebule etc.
Kweli inaleta HESHIMA kwani yaweza kuwa Chumba,Sebule etc.
Totaly wrong.
Kwa kuongezea tuu rav 4 inasumbuaga sana gear box.
Natumia Rav4 tangu mwaka 2006. nina uhakika na ninachokisema.Una uhakika na unachokiongea? Isije ikawa ulikuwa haufanyi service halafu unasingizia Rav 4 zina matatizo ya gear box
Natumia Rav4 tangu mwaka 2006. nina uhakika na ninachokisema.
Sawa mkuu. asante kwa ushauri.Check properly your service schedules
Niliwahi kuwa na Noah,yaani unampa jamaa yako aendeshe wewe wala vitu... Maisha yale yalikuwa mazuuuuuri kwa sisi Mashababi!