washwa washwa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 1,613
- 723
hiyo gari lazima itakuwa ni manual na inawezekana hujui kuendesha manualNatumia Rav4 tangu mwaka 2006. nina uhakika na ninachokisema.
Kamata Noah mkuu ujenge heshima kitaa ina body kubwa na cc2000
Noah ndo mpango mzima wakuu, m nnayo yan full funiko yan heshima sana mi nnayo 4WD-BlackBody-TownHiace
Wanaopinga hawjui tu
Rav4 uzushi kwanza hata mazingira ya ndani ni matatizo padogo sana huwez jiachia hasa kwa sisi watu warefu
Kwa ufupi noah ni multpurpose car......
Wakuu nimekuwa nikijiuliza swali ambalo sijpata jibu lake labda mnaweza kunisaidia.
Kwanini Noah pamoja na ukubwa wake huo bei yake ni ndogo sana?
Kamata Noah mkuu ujenge heshima kitaa ina body kubwa na cc2000
Mmh TIQO kwa hizo cc ulaji wake wa mafuta ni mkubwa!
Sasa Noah na Rav 4 ipi inakula mafuta wakati zote ni cc 2000?
kwangu mimi zote zinakula kwavile ni cc 2000, kwahiyo kama ni gari ya kutembelea simshauri kununua yenye hizo. It should be 1800 or below
Mkuu huwa nashangaa kwa mtu anayeishi Sinza au Mwanyamala kununua gari kubwa kwa ajili ya kuendea ofisini Posta wakati hata VITZ au Starlet tu inafika
kwangu mimi zote zinakula kwavile ni cc 2000, kwahiyo kama ni gari ya kutembelea simshauri kununua yenye hizo. It should be 1800 or below
tena tinted mpaka inatishaleo nimegundua kumbe noah ni gari za wazinzi
mkuu kwa cc 2000 fuel consumption haiwezi kuwa nzuri unless nimekariri....!!
Noah ni gari ya kitajiri kwa wenyewe...sababu ni zaidi ya gari..in sebule,reception,bedroom na conference room..viti vya kati vyaweza geuka nyuma mkafanya meeting etc..just go for itKamata Noah mkuu ujenge heshima kitaa ina body kubwa na cc2000
Jamaa anatafuta gari la kutumia we unamshauri anunue basi la abiria la Noah
Also Guest House kwa Wazee wa Short Time!!Kweli inaleta HESHIMA kwani yaweza kuwa Chumba,Sebule etc.
rav 4 inanibore lile tege tu...afu ndani imekaa kiold skul sana...bora noah mkuu...