Mabeberu ni kina nani ,toa maana ya mabeberu

Mabeberu ni kina nani ,toa maana ya mabeberu

ZAK ZAK

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2018
Posts
510
Reaction score
427
Anayejua maana ya mabeberu atufundishe nchi,taifa au watu gani?toa maoni yako hapa
 
Huo ni msamiati uliobadilishwa maana halisi na wachumia tumbo na waimba mapambio:

1. Akifanya wanayotaka anakuwa muwekezaji
2. Akienda kinyume dk sifuri anageuka kuwa BEBERU
 
Huo ni msamiati uliobadilishwa maana halisi na wachumia tumbo na waimba mapambio:

1. Akifanya wanayotaka anakuwa muwekezaji
2. Akienda kinyume dk sifuri anageuka kuwa BEBERU
Huu ndio ukweli halisi. Ndio maana huwaoni hapa
 
Moderater hii ni thread ya kisiasa mbona mumehamishi jukwaa la elimu. Huku hakutakuwa wachangiaji.
 
Moderater hii ni thread ya kisiasa mbona mumehamishi jukwaa la elimu. Huku hakutakuwa wachangiaji.
Ulitaka ichangiwe kisiasa ilhali ipo kielimu.
Chukua kitabu cha Historia darasa la 5 fungua Mada ya mwisho utapata majibu yako yote.
 
Anayejua maana ya mabeberu atufundishe nchi,taifa au watu gani?toa maoni yako hapa
Mabeberu kwa lugha ya kiingereza wanaitwa " Emperialists"! Ni mataifa yenye uchu wa kutawala nje ya mipaka yao!! Yanataka kushinikiza matakwa yao kukubalika na mataifa mengine vinginevyo unaonekana kuwa ni adui. Huko nyuma mabeberu wakubwa walikuwa Uingereza, ujerumani, ufaransa, ureno, ubelgiji na Japan. Kwa sasa mabeberu has a ni nchi za magharibi zikiongozwa na Marekani. Lengo la sasa la mabeberu ni kutawala mataifa mengine kiuchumi. Beberu mkubwa ndiye anawatawala hata mabeberu wadogo wa ulaya kwa sasa!! Ukikataa matakwa yake anakuwrkea vikwazo vya liuchumi na wanafyata mkia!!
 
"beberu ni mamaako"

kuna ndugu alimjibu mtu hivi huko twitwa nilicheka sana

kwa upande wangu nasubiri pia maana
 
Mabeberu kwa lugha ya kiingereza wanaitwa " Emperialists"! Ni mataifa yenye uchu wa kutawala nje ya mipaka yao!! Yanataka kushinikiza matakwa yao kukubalika na mataifa mengine vinginevyo unaonekana kuwa ni adui. Huko nyuma mabeberu wakubwa walikuwa Uingereza, ujerumani, ufaransa, ureno, ubelgiji na Japan. Kwa sasa mabeberu has a ni nchi za magharibi zikiongozwa na Marekani. Lengo la sasa la mabeberu ni kutawala mataifa mengine kiuchumi. Beberu mkubwa ndiye anawatawala hata mabeberu wadogo wa ulaya kwa sasa!! Ukikataa matakwa yake anakuwrkea vikwazo vya liuchumi na wanafyata mkia!!
.Umesema kwa sasa marekani,ulaya vip China,japan, australia,Canada,hawa si mabeberu kama sio kwanini
 
Ubeberu ulielezwa kama ifuatavyo na Dkt. Muhammed Seif Khatib:

Ubeberu ni mfumo wa kiutawala wa kundi la nchi chache kubwa zilizojikusanya kwa lengo la kunyonya kiuchumi nchi nyingine. Nchi hizo za kibeberu huwa na nguvu za kijeshi na kiuchumi ambazo huweza kushawishi au kulazimisha nchi nyingine kisiasa, kiuchumi hata kwa kijeshi kutekeleza matakwa yao. Ubeberu huwatumia viongozi wa Kiafrika kuwaweka madarakani kwa masilahi yao. Wakati mwingine huchochea vita, fujo ili kupata sababu ya kuingilia nchi hizo kutekeleza matakwa yao. Lakini njia wanayoitumia nyingine ni kule kuanzisha asasi kama, World Bank, IMF au MCC ili kutoa fedha za misaada au mikopo kwa nchi za Afrika.

Wanatoa kidogo wanachukua kingi. Inasemakana nchi za Kiafrika zinapata fedha dolla 30 bilioni kwa mtindo wa mikopo na misaada wa vitega uchumi kutoka nchi kibeberu lakini nchi za Kiafrika zinaibiwa na wakubwa hawa dolla 192 bilioni katika maeneo tofauti. Fedha hizi zinazoibiwa ni pamoja na faida ya makampuni ya kigeni, ukwepaji kodi, uvuvi haramu, wizi katika mafuta na madini ya kutoka Afrika. Fedha zinazowekwa katika mabenki ya ulaya kutokana na wizi wa viongozi wa kisiasa wa Kiafrika. Waafrika wanatoa dolla 36 billioni eti za kusaidi mabadiliko ya hali ya hewa ambayo wenyewe Waafrika ndiyo waathirika. Dolla 21 bilioni hutolewa na Wafrika kulipa madeni. Nchi za Kiafrika zinapoteza zaidi mabillioni ya fedha kuliko nafuu ya unafiki ya misaada ya kigeni kwa njia ya udanganyifu na haramu. Katika Ripoti ya Kofi Aanan huko London, iitwayo African Progress Report, inasema kuwa Afrika inapoteza dolla 17 billioni kutokana na uvuvi haramu unaofanywa na wakubwa hawa katika bahari zetu.

Zaidi angalia hapa :

Ubeberu ni mfumo wa kundi la nchi chache kubwa zilizojikusanya kunyonya nchi nyingine
 
Ulitaka ichangiwe kisiasa ilhali ipo kielimu.
Chukua kitabu cha Historia darasa la 5 fungua Mada ya mwisho utapata majibu yako yote.
. Sababu za kutako iwe jukwaa la kisiasa kwasababu neno"mabeberu" halikauki midomoni mwa wanasiasa hasa CCM Hata mh.rais wetu JPM Amekuwa akilalamika siku akisema mabeberu wana tuhujumu, pia ukasikia CCM, na watu. Wakiituhumu, kuwa, kituo cha haki za binadamu,Zito,lissu,na chadema wanatumika na Mabeberu ni maana nikataka nijue mabebera ni akina nani mpaka wawatumie wanasiasa wetu kutuhujumu.je wew unadhani hi si hoja ya kisiasa?
 
. Sababu za kutako iwe jukwaa la kisiasa kwasababu neno"mabeberu" halikauki midomoni mwa wanasiasa hasa CCM Hata mh.rais wetu JPM Amekuwa akilalamika siku akisema mabeberu wana tuhujumu, pia ukasikia CCM, na watu. Wakiituhumu, kuwa, kituo cha haki za binadamu,Zito,lissu,na chadema wanatumika na Mabeberu ni maana nikataka nijue mabebera ni akina nani mpaka wawatumie wanasiasa wetu kutuhujumu.je wew unadhani hi si hoja ya kisiasa?
Nishakupa pakusoma umalize dukuduku lako! Kwa kiingereza ni 'Imperialists'
Kazi kwako!
 
H
.Umesema kwa sasa marekani,ulaya vip China,japan, australia,Canada,hawa si mabeberu kama sio kwanini
Hawa hawana sera za kulazimisha matakwa yao kwa nchi zingine tofauti na nchi kama UK na USA.
 
Mbona kama mabeberu ati wawekezaji(wenye mtaji) .na ni wa dau wa maendeleo. Ati mabeberu coins ya sarafu viongozi wa africa. Wakitoa msaada huitwa wadau au wawekezaji wakikemea ukikukwaji wa haki huitwa mabeberu
 
Back
Top Bottom