Mabeberu waendeleza vita ya uchumi juu ya biashara ya dawa za Corona. Madagascar wadindisha na kusimamia ukucha kuhusu dawa yao ya ‘Covid organica’

Mabeberu waendeleza vita ya uchumi juu ya biashara ya dawa za Corona. Madagascar wadindisha na kusimamia ukucha kuhusu dawa yao ya ‘Covid organica’

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
WHO imeendelea kuikandia dawa ya ‘Covid organica ambayo rais Magufuli ameahidi kuiagiza ili kunufaisha waTanzania, kwa kuwa dawa ya Corona ni fursa kubwa sana ya kiuchumi, mabeberu wameendelea kuiponda dawa hiyo wakati wakijiandaa kuiachia dawa yao ambayo itakuwa approved na WHO ili matrillioni ya dollar yatakayopatikana katika mauzo ya dawa hizo ziingie mifukoni mwao na si kwenda Madagascar. Video chini ina maelezo zaidi..

 
sasa kama dawa inatibu, why lockdown? unawatibu wote wanaisha na virus kwisha... kuliko lockdown ambayo ina madhara makubwa kwa watu... unless there is absolute necessity , hakuna haja ya kuwela lockdown
Dawa inatibu sio kuzuia maambukizi
 
Wabongo mmerogwa sijui na nani. WHO hawana shida na dawa. Wao wanatafta dawa usiku kucha. Kukataa dawa ya madagasca usifikiri ni wapumbavu. Tyari wameshaipima na labda wameona mapungufu na sio effective.

Kitu kingine dawa kuwa aproved huchukua number of procedures and time ili itumike on mass population.

Ndyo maana wengi walikufa kwa kukibilia kikombe cha babu.
Screenshot_20200423-204027_Google.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo mmerogwa sijui na nani. WHO hawana shida na dawa. Wao wanatafta dawa usiku kucha. Kukataa dawa ya madagasca usifikiri ni wapumbavu. Tyari wameshaipima na labda wameona mapungufu na sio effective.

Kitu kingine dawa kuwa aproved huchukua number of procedures and time ili itumike on mass population.

Ndyo maana wengi walikufa kwa kukibilia kikombe cha babu.View attachment 1440102

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hao pichani hawakufa?
 
WHO imeendelea kuikandia dawa ya ‘Covid organica ambayo rais Magufuli ameahidi kuiagiza ili kunufaisha waTanzania, kwa kuwa dawa ya Corona ni fursa kubwa sana ya kiuchumi, mabeberu wameendelea kuiponda dawa hiyo wakati wakijiandaa kuiachia dawa yao ambayo itakuwa approved na WHO ili matrillioni ya dollar yatakayopatikana katika mauzo ya dawa hizo ziingie mifukoni mwao na si kwenda Madagascar. Video chini ina maelezo zaidi..


Time hii Africa imewawahi wazungu, lazima wachachawe.
 
Dawa inatibu sio kuzuia maambukizi
Hapana.
Madagascar wanasema dawa yao ina namna zote mbili. Anatumika kukinga na kutibu hapo hapo.

Lakini hapo hapo wako serious kuhakikisha watu wao wako kwenye Lockdown mpaka leo!
 
Wameongeza siku 14 lockdown
Wanajua kwa hakika hiyo dawa ni ujanja ujanja wa kupiga pesa na kuwazubaisha wajinga huku mambo mengine yakiendelea.

Waafrika sijui kuna nati fulani fulani haziko sawa kichwani?
 
Wabongo mmerogwa sijui na nani. WHO hawana shida na dawa. Wao wanatafta dawa usiku kucha. Kukataa dawa ya madagasca usifikiri ni wapumbavu. Tyari wameshaipima na labda wameona mapungufu na sio effective.

Kitu kingine dawa kuwa aproved huchukua number of procedures and time ili itumike on mass population.

Ndyo maana wengi walikufa kwa kukibilia kikombe cha babu.View attachment 1440102

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikuwepo wakati wanaipima, kwanini wasisema wazi kwamba inamadhara hayo unayosema kuliko wanavyodai kwamba ni unproven, sasa walitaka nani aiprove? Madagascar wamefanya majaribio na imefaa, let WHO prove otherwise
 
sasa kama dawa inatibu, why lockdown? unawatibu wote wanaisha na virus kwisha... kuliko lockdown ambayo ina madhara makubwa kwa watu... unless there is absolute necessity , hakuna haja ya kuwela lockdown
Hujui kinga ni bora kuliko tiba!!???
 
Hapana.
Madagascar wanasema dawa yao ina namna zote mbili. Anatumika kukinga na kutibu hapo hapo.

Lakini hapo hapo wako serious kuhakikisha watu wao wako kwenye Lockdown mpaka leo!

I’m convinced that, in fact history will prove us, but today there are already two cases that have been cured with the Covid-organics, but we’ll actually see what happens next.”

“Covid Organics will be used in profilaxis, i.e. preventive, but clinical observations have shown a trend towards its effectiveness in curative, other clinical studies are currently underway,” he stressed at the launch :-Andry Rajoelina
 
Ulikuwepo wakati wanaipima, kwanini wasisema wazi kwamba inamadhara hayo unayosema kuliko wanavyodai kwamba ni unproven, sasa walitaka nani aiprove? Madagascar wamefanya majaribio na imefaa, let WHO prove otherwise
Iyo dawa imetoka lini ya madagasca. WHO wamesema hawajaiuprove sio kuwa wameikataa.

Kitaalamu huchukua zaidi ya mwaka mzima kufanyia dawa uchunguzi na kuaprove kutumika on mass population.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom