Mabeberu wanataka kufanya biashara gani kuhusu Corona?

Mabeberu wanataka kufanya biashara gani kuhusu Corona?

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Najiuliza hii hali inayoonyeshwa na mamlaka za baadhi ya nchi za kiafrika kuruhusu wachina kuingia nchi zao, wana syndicate gani na mabeberu?

Kwanini wanatamani kusikia watu wao wanaumwa Corona?

Kwanini hawana hofu ya ugonjwa huu?Iwapo ugonjwa umeingia nchi kama Italia,ni kwa vipi ishindikane kwetu kwa kujidanganya eti wasafiri wanafanyiwa screening?

Kwanini watu wetu wanasafiri kwenda China na kurudi bila wasiwasi?

Je, huenda kuna kitu kimetolewa kwa watoa maamuzi kupotezea hii hali ili hii Corona iingie kisha dawa zipatikane waanze kutuuzia kwa kuchukua madini yetu?

Hakuna mtu anayeweza kuniaminisha eti nchi zetu zimejipanga kuliko Italy.

Tumwombe Mungu tu, kama kuna mtu anafanya makosa makusudi kwa kutokutimiza wajibu, Corona ikiingia imuanzie yeye binafsi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine wanasema hawatishwi na mafua aina ya korona wewe unakwama wapi tukukwamue..??

Binafsi nimejizatiti namna hii!
download.jpeg
 
Najiuliza hii hali inayoonyeshwa na mamlaka za baadhi ya nchi za kiafrika kuruhusu wachina kuingia nchi zao,wana syndicate gani na mabeberu?

Kwa nini wanatamani kusikia watu wao wanaumwa corona?

Kwa nini hawana hofu ya ugonjwa huu?Iwapo ugonjwa umeingia nchi kama Italia,ni kwa vipi ishindikane kwetu kwa kujidanganya eti wasafiri wanafanyiwa screening?!

Kwa nini watu wetu wanasafiri kwenda China na kurudi bila wasiwasi?
Je huenda kuna kitu kimetolewa kwa watoa maamuzi kupotezea hii hali ili hii corona iingie kisha dawa zipatikane waanze kutuuzia kwa kuchukua madini yetu?

Hakuna mtu anayeweza kuniaminisha eti nchi zetu zimejipanga kuliko Italy...Tumwombe Mungu tu,kama kuna mtu anafanya makosa maksudi kwa kutokutimiza wajibu,corona ikiingia imuanzie yeye binafsi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan wao ndio wametuamrisha tupokee wageni,kuhusu madini wao ni soko hata wasipofata tunawapelekea wenyewe
 
endeleeni kujipa moyo, miaka ya 83-89 wazee wetu walikua wakisikia kwa mbali hivyo hvyo kua kuna ugonjwa unaitwa AIDS ilikua kma ndoto au jambo la kufikirika ila leo ndo tunao . tahadhari ni muhimu
Hizo ni nadharia za chuki dhidi ya wengi kwani corona na HIV zinabagua?
 
Ilistahili kuzuia watu wote wanaotoka iliko corona wasiruhusiwe kuingia. Au kama ni raia wahifadhiwe kwanza mahali pa uchunguzi.
Sasa kama watu wanaruhusiwa hadi tusikie watu kadhaa wame athirika, nadhani tutakuwa na shida mahali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wewe huenda una tatizo kichwani mwako.

Nimesema watawala Afrika.Mfano ni nchi jirani ya Kenya.Waliruhusu wachina waingie,kiasi kwamba imetangazwa kama miongoni mwa nchi zilizo katika uwezekano mkubwa wa kupata maambukizi ya covid 19.

Unaweza kujiuliza ni nini wanafikiria,hadi mahakama imeamuru safari za ndege kutoka China zizuiwe na wachina walioingia wasakwe.Je unadhani huo msako utasaidia nini kama walishajichanganya?Je kuna udhibiti gani wa hao wachina kuingia Tanzania?Au waingie tu na mradi tusikumbatiane,kubusiana na kupeana mikono tu inatosha?
Unamlaumu Nani Sasa....
Wakulaumiwa ni wewe mwenyewe....

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najiuliza hii hali inayoonyeshwa na mamlaka za baadhi ya nchi za kiafrika kuruhusu wachina kuingia nchi zao, wana syndicate gani na mabeberu?

Kwanini wanatamani kusikia watu wao wanaumwa Corona?

Kwanini hawana hofu ya ugonjwa huu?Iwapo ugonjwa umeingia nchi kama Italia,ni kwa vipi ishindikane kwetu kwa kujidanganya eti wasafiri wanafanyiwa screening?

Kwanini watu wetu wanasafiri kwenda China na kurudi bila wasiwasi?

Je, huenda kuna kitu kimetolewa kwa watoa maamuzi kupotezea hii hali ili hii Corona iingie kisha dawa zipatikane waanze kutuuzia kwa kuchukua madini yetu?

Hakuna mtu anayeweza kuniaminisha eti nchi zetu zimejipanga kuliko Italy.

Tumwombe Mungu tu, kama kuna mtu anafanya makosa makusudi kwa kutokutimiza wajibu, Corona ikiingia imuanzie yeye binafsi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndo biashara


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom