Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Afrika ni bara la gizaAngalia mwenyewe hizo fedha zilivyo nyingi kuna CFA franc, dola na euro zimo nyumbani kwa mtoto wa kiongozi wa Rais Ali Bongo aliyepinduliwa.
View attachment 2735002
Duuh..Angalia mwenyewe hizo fedha zilivyo nyingi kuna CFA franc, dola na euro zimo nyumbani kwa mtoto wa kiongozi wa Rais Ali Bongo aliyepinduliwa.
View attachment 2735002
Hawa watawala wa milele na vyama vya kutaka kutawala milele ni wa kuondoa kwa nguvu!!Angalia mwenyewe hizo fedha zilivyo nyingi kuna CFA franc, dola na euro zimo nyumbani kwa mtoto wa kiongozi wa Rais Ali Bongo aliyepinduliwa.
View attachment 2735002
The dark Continent 🏌️Afrika ni bara la giza
Ni kilio kila mahali huu msiba hakuna nchi Africa inaukwepa.Rais wa Nigeria alipomaliza muhula wake, nyumba yake ilipigwa msako
View: https://www.youtube.com/watch?v=ibkAjnt3YBw