Kumbe ila kukopa na kuaanda sherehe ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa rais ni kama kwenda kariakoo kuchagua viatu sio?Miradi sio kama michepuko ya tandale
Ulichokitafuta umekipataMiradi sio kama michepuko ya tandale
Jamii forum imejaa kenge wajinga sana na wewe ni moja ya kenge waliokubuhu kupotosha umma kupitia mitandao ya kijamniiTrilioni mbili ni sawa na shilligi ngapi za mwaka 2000.
Yeye kajenga walipoweka msingi watangulizi wake. Au alikuta hayo mabenki yana faida sifuri!?
Nchi inamajitu majinga kama haya kupata maendeleo ni ndoto za mchanaJamii forum imejaa kenge wajinga sana na wewe ni moja ya kenge waliokubuhu kupotosha umma kupitia mitandao ya kijamnii
Kenge naye ni mnyama kama alivyo binadamu.Jamii forum imejaa kenge wajinga sana na wewe ni moja ya kenge waliokubuhu kupotosha umma kupitia mitandao ya kijamnii
Kweli unaweza kushindana na baba yako aliyetumia hela zake kukusomesha, akaahirisha kujenga nyumba yake, ili aweze kukusomesha wewe?Nani kama mama? Hafoki mabarabarani lakini kazi zinaongea.
View attachment 3219847
UWT hamnaga akili kabisaBAVI-CHAWA
Bado una kizunguzungu cha uchaguzi usiokuhusu wa CHADEMA uliokuwa unaushabikia😂BAVI-CHAWA
Punguza gubuKweli unaweza kushindana na baba yako aliyetumia hela zake kukusomesha, akaahirisha kujenga nyumba yake, ili aweze kukusomesha wewe?
Eti, ujisifu kwa kuwa wewe, baada ya kusomeshwa na huyo baba yako, umeweza kujenga nyumba?
Useme umeweka rekodi ya kumpita baba yako, yeye hakujenga nyumba, wewe umeweza kumshinda na kujenga nyumba?
Hiyo hoja ina mantiki kweli?
Nani kama mama? Hafoki mabarabarani lakini kazi zinaongea.
View attachment 3219847ajavunja rekodi yoyote.