Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
wanawake kweli hatari,sie yetu macho na masikio tu
ila yule Mange atakuwa fyatu sana,mtu yuko
USA anagombana na watu wa Tanzania.hizo stress au depresion.....
blog yake imekuwa uwanja wa mapambano,haeleweki mara hatuhesabu matusi
tunahesabu hela kiko wapi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mnapomchokoza Mange muwe mmejipanga, na yeye ana moyo huo huo kama wenu. Sinta alizidi sana kumchokonoa dada wa watu kisa apate kick kwenye blog yake, haya sasa tumeshajua data zako zote. Nashangaa kwa nini unamficha mwanao na kujidai hujaolewa shoga...unamkana mganda wako kweupee...mjini kazi kweli kweli.
Ujumbe wangu ni huu ila hauwahusu Mange na Sinta bali post yako....Silence ndio dawa ya maisha .ukichokozwa Unakaa kimya basi.Unamwachia mungu kila kitu.