Tanzania imekuwa kama wimbo. Ikifika Januari kila mtu analia hali ngumu ya uchumi. Miaka na miaka tunalia hii hali bila kuwa na suluhisho la maana.
Nashauri benki zingeangalia uwezekano wa kupunguza hii hali hata kwa kutoa mikopo midogo. Mtu hata kama anamkopo benki basi Januari aweze kutop hata laki tano au saba hivi kulingana na mshahara wake. Makato yake yaongezwe ili hii hela aweze lipa kwa miezi 12.
Kwa wafanyabiashara nako iwe hivyo kulingana na mahitaji na uwezo.
Hiki kilio cha njaa January huchosha sana.