TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Kuna hii tabia imezuka siku za hivi karibuni japo ilikuepo pia zamani. Tabia yenyewe ni hii ya maharusi kuingia ukumbini huku wakicheza muziki kwa step ili "kuchangamsha" shughuli.
Kichekesho ni pale unapokuta mmoja wapo wa maharusi hasa mwanaume sio mtu wa muziki na hajui kabisa kucheza! Unakuta jamaa hana "moves" kabisa yaani mziki unaenda kushoto yeye anaenda kulia ila kakazana tuu kitendo kinachomfanya achoreke na kutia huruma huku watu wakianza kucheka.
Jamani, mimi naona kama mtu hujui kucheza we kubali yaishe tuu mnaweza kuingia mmeshikana mikono bila mbwembwe nyingi na mambo yakanoga.
Kichekesho ni pale unapokuta mmoja wapo wa maharusi hasa mwanaume sio mtu wa muziki na hajui kabisa kucheza! Unakuta jamaa hana "moves" kabisa yaani mziki unaenda kushoto yeye anaenda kulia ila kakazana tuu kitendo kinachomfanya achoreke na kutia huruma huku watu wakianza kucheka.
Jamani, mimi naona kama mtu hujui kucheza we kubali yaishe tuu mnaweza kuingia mmeshikana mikono bila mbwembwe nyingi na mambo yakanoga.