Mabibo Hostel msaada!

unaposema ni chuo cha taifa una maanisha ni cha public au??
 
unaposema ni chuo cha taifa una maanisha ni cha public au??

waulize wana UDOM na SUA wanajua Kuwa UDSM ni mti mkavu kama unabisha subiri uone nani anapewa bumu baada ya cku 2 kama sio UDSM afu vyuo vingine baada ya wiki 3...serikali macho muda wote ni UDSM na wanakiogooopa
 
waulize wana UDOM na SUA wanajua Kuwa UDSM ni mti mkavu kama unabisha subiri uone nani anapewa bumu baada ya cku 2 kama sio UDSM afu vyuo vingine baada ya wiki 3...serikali macho muda wote ni UDSM na wanakiogooopa
mawazo mgando!
 
Hiyo google map haitakusaidia mdogo wangu, watu walishatumia wamechoka si unajua Ud ndo kila kitu, wanaokiponda ila tunaita "Point of self Protection" cha msingi nyie fikeni hiyo tar 1 oct.

octoba tena! Me mbina nimeckia chuo kinafunguliwa sept 17 kwa first yea?
 
Hiyo google map haitakusaidia mdogo wangu, watu walishatumia wamechoka si unajua Ud ndo kila kitu, wanaokiponda ila tunaita "Point of self Protection" cha msingi nyie fikeni hiyo tar 1 oct.

Kwa hiyo kila kitu tar 1 Oktoba?
 
kijana karibu udsm,lakini kuna hatari ya kuanza kuvalishwa uniform pale maana akina mukandara siku hizi ukitaja revolution nasikia unatimuliwa hapohapo,hakuna demokrasia kama kipindi kile.da! sitaisahau udsm,kozi ya miaka mitatu nilisoma karibu niisome miaka mitano.ewe baba walaani mapacha watatu waliotutimua mwaka mzima nyumbani kwa kudai haki.
 
Naomba kujua kuna umbali wa kilometa ngapi from DUCE to Mabibo Hostel.
 

pole sana kaka
 

Mkuu nmemiss rev. Square! Ck za karibuni kulikuwa na jamaa anajiita alshabab aliongoza kuwachefua mapacha 3, wamemtimua!
 
Una matatizo we ni "tabula lasa" hebu kanye huko...usisahau kusoma new information za SUA,
uwezo wa kufikiri ni mdogo sana zaid ya mtoto wa la pili!!! ukikua mwili kua na akil pia...kum****vu sana wewe....
 
unatoka arusha sehemu gani aisee ,, hembu fanya tukutane hapa tufanye mipango ya kubebana aisee mimi mwenyewe nipo arusha hapa , ....... hembu ngoja nikucheki sasa hivi hapa...... na nikuelezee mambo yote kuhusu udsm (chuo cha taifa)
 
Naomba kujua kuna umbali wa kilometa ngapi from DUCE to Mabibo Hostel.

mimi nimekaa mabibo hostel miaka miwili , ila sijawahi kufika hapo DUCE , ila kwa ushauri wa bure kama umepangwa DUCE ni bora ukatafuta makazi kulekule ,, maana watu wa DUCE wanapata tabu sana ya Usafiri
 
tatizo ni pale utapokuwa na roommates wazinzi, kuna wanafunzi wezi wa simu na vitu vidogovidogo (mara nyingi boom linapokata).. lakini kwa mtoto wa kiume aliyesoma bweni shule za govt, , maisha ni mazuri sana pale main camp pako kama ulaya fulani hivi hlf huhitaji kununua radio kuna ndege wenye sauti nyororo za kukuburudisha 24 hrs.

assume: udsm of 1990s=2012
 
unatoka arusha sehemu gani aisee ,, hembu fanya tukutane hapa tufanye mipango ya kubebana aisee mimi mwenyewe nipo arusha hapa , ....... hembu ngoja nikucheki sasa hivi hapa...... na nikuelezee mambo yote kuhusu udsm (chuo cha taifa)


ha ha ha ha ha ha we jamaa wewe? Ha ha ha,umenkumbusha meng dah! Thanx God memaliza ths year,maana mambo ya Rum,kwakwel yalikua yanatia stress balaaa!
 
cory wana2mia vigezo gani kukupanga mabibo au main campc?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…