Mabibo Hostel msaada!

cory wana2mia kigezo gani kukupanga main campc au mabibo? na ukufika ciku hiyo hiyo unajulishwa rum yako au kunaprossc?
 
cory wanatumia kigezo gani kukupanga mabibo au main campc? na je ukifika unajulishwa rum yako au kunaprocs za kuwait
 
cory wanatumia kigezo gani kukupanga mabibo au main campc? na je ukifika unajulishwa rum yako au kunaprocs za kuwait

Ni bahati nasibu kama sikosei,ukifika siku ya kufungua utajua umepangiwa wapi baada ya hapo utafanya mchakato wa kulipia na kukabidhiwa funguo na godoro...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…