Mabibo jeshini nini kinaendelea, biashara zimepamba moto

MtamaMchungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
8,974
Reaction score
12,662
Kama ni mpitaji au mkazi wa maeneo ya Mabibo jeshini, hivi karibuni shughuli za kibiashara zimekuwa zikichipuka kila siku, pembezoni mwa barabara upande wa kambi ya jeshi. Nini kimetokea au kubadilika siku za hivi karibuni? Yale maeneo yanauzwa au kukodishwa au ni biashara za jeshi?

Mwenye kufahamu naomba anisaidie
 
Mungu amjalie mama samia suluhu hassan kila kona BIASHARA ZINAAMKA KILA UCHWAO, JAMAA ALITAKA KUTUUWA KABISA.
 
jpm ni rais bora katika marais watanzania hakuna wa kumfikia kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…