Mabikra wawili wananichanganya tafadhali nisaidieni ushauri.

Mwana komaa tu zidi kumuomba Mungu kitaeleweka, watoto wa huko nasikia ni wazuri sana kaaaazi kwelikweli
 
ooooops nimeishia aya y ila umejitahidi mkuu kwanza mi sio mpenzi saaana wa hadithi hadithi ila sikukatishi tamaaa hebu wasiliana na shigongo ili akupe safu moja kati ya magazeti yake ya udaku,kila la kheri

Asante mkuu kwa kuziweka sawa mbavu zangu

 
hhahaha! kweli ni ndefu, mimi nimejigeuza geuza kwenye kitanda na laptop yangu hadi kumaliza!
ila jibu naona nitampa kesho, maana ni ndefu sana aisei!!
 
Habari mkuu,
hii story imenibamba sana!ila mi nakushauri kitu kimoja tu,kwamba kati ya hao wawili lazima kuna mmoja unayempenda zaidi ama sivyo?kama ndio basi oa mmojawapo?wasichana ni wengi sana huku duniani na bado wanazaliwa wengi tu,unaweza kuoa leo kesho ukaona mwingine mzuri zaidi ukatamani tena.





 
Hapa inaonesha kama hii Hadithi ulisimuliwa na wewe ukaamua kutuandika maana hakuna uwiano wa miaka 1959-2011=51 kwa hiyo wote ni sawa na mama zako.
 
Ila kama vipi wachue wote wawili ya ndoa ya kiislam...!!!
 

Mwaka waliofariki wakwe zake hajaongelea, samahani kumbe hujaniuliza mimi!
 
Ndugu yangu pole sana,Kama GAGA alivyosema,njia pekee ni kumtegemea Mwenyezi MUNGU.Mke mwema hutoka kwa BWANA,sali sana sana sana sana na Bwana hatokuacha.
 
Haya sasa mkuu unaendeleaje na hilo movie lako tunasubiri mpaka sasa hakuna ambaye umeshamtoa hata mmoja...!!!:decision:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…