Mabilioni ya M- Bet yameshindwa kumzuia Zoran Maki

Mabilioni ya M- Bet yameshindwa kumzuia Zoran Maki

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Mwez wa nane Simba iliingia mkataba mnono kweli kweli na m bet Sasa inakuaje aliyekua kocha wao zoran mak anavunja mkataba na kwenda ittahadalexsc.

Inamaana club tajiri Tanzania na level moja na Al Ahly au mamelod sundown wananyanganywa kocha na ittahadalexsc timu ndogo kuliko Simba yaani kocha anaondoka kimagumashi hivi na huku timu ikiwa na utajiri wa kutisha na mmiliki billionaire.

Screenshot_20220906-173049~2.png
 
Huyu kocha ni mhuni ashajua mtu wa race nyingine ni rahisi sana kupiga pesa hapa, kufanya madudu na kufukizwa na kulipwa fidia ya kuvunjwa mkataba ndio biashara yake
 
Back
Top Bottom