Mabillioni yanayolala kwenye AI: Fursa zisizoguswa!

Sasa hivi naona kuna MCP wanataka kuondoa uhitaji wa APIs ili kufanya integration ya AI na 3rd party servicesView attachment 3265892
Model Context protocol japo sifahamu kivile ila Incase hii issue itakuwa muhimu kama itafill madhaifu ya APIs basi makampuni yata adopt ingawa all biggest companies kwa Sasa hivi huwezi kuwa scalable bila API
 
Kuna jamaa YouTube kutengeneza music video ya Mond yupo kijeshi inayohusu vita ya Kongo kutumia AI , imetoka bomba na kapata viewers wengi.
 
Kuna jamaa YouTube kutengeneza music video ya Mond yupo kijeshi inayohusu vita ya Kongo kutumia AI , imetoka bomba na kapata viewers wengi.
Niliona ulikuwa Ina trend sana
 
Naona umetumia AI kuanzisha huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…