Mabinamu ya kweli haya jamani....


hahaha pole sir compressor ...inawezekana hata langu lilikuwa small house long ago jamani maajabu ya dunia
 
FL huyu naona kama anajiandaa kunitenda vile.
dalili ya mvua ni mawingu,lakini usifanye makosa ukasahau kwamba wakati mwingine mawingu yanaondolewa na upepo na mvua hainyeshi hapo,labda kwengine,usiutafute wasiwasi,ngoja ukukute.
 
dalili ya mvua ni mawingu,lakini usifanye makosa ukasahau kwamba wakati mwingine mawingu yanaondolewa na upepo na mvua hainyeshi hapo,labda kwengine,usiutafute wasiwasi,ngoja ukukute.

What are you insinuating here compressor?Xpin is preparing himself to build a small house?
 
dalili ya mvua ni mawingu,lakini usifanye makosa ukasahau kwamba wakati mwingine mawingu yanaondolewa na upepo na mvua hainyeshi hapo,labda kwengine,usiutafute wasiwasi,ngoja ukukute.

Hahaha! Compressor kazi yake ni kusukuma refrigerant kwenda kwenye evaporator au? LOL! Nshasahau. Umri bana! Maombi yako hayatasikilizwa!
 
FL1,
Naona wewe unataka kuvunja ndoa za watu. Utasababisha watu waende kuchunguza majina ya watoto wao. Mziki wake ni balaa kubwa sana .... mtu anaweza ku-denounce majina ya wanae akaamua kuwabatiza upya ikiwa ni pamoja na kwenda kufanya DNA ili a-prove paternity ... maana mtu hachelewi kupewa kumbukumbu kamili na siyo jina tu!
 
hahaha pole sir compressor ...inawezekana hata langu lilikuwa small house long ago jamani maajabu ya dunia
teh teh teh teh! hongera sana mzee atakuwa anakupenda sana,yah! unamkumbusha matamu yaliyokwishapita,aliyoyashindwa kuyatunza akaacha yaende labda kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wake.oh! mama hana neno na wewe coz yeye ndo kashikilia mpini,kumbkumbu za namna hii hazishikiki.
 
mfano mimi jina langu nimepewa la babu yangu, nadhani si vibaya tukiwaita watoto wetu majina ya ndugu zao ila sio majina ya wale ndugu hamnazo,mtajuta wakubwa,
 
What are you insinuating here compressor?Xpin is preparing himself to build a small house?
ooooooooooh hooooooooooo! sasa hapo ndo unautafuta wasiwasi,hawezi kufanya hivyo,mpaka atakapofanya ndo atakuwa anaweza kufanya.
 

hahahah Keil
mie nikitoka hapa naenda kuuliza boss hivi hili jina la mwanawetu chanzo chake nini has ..nahitaji majibu fasta
 
eeh!
leo mamaa umepiga ngumi ya kushtukiza
lakini believe me,haya mambo yanategemea na makabila
KWA MFANO:wakinga ni watu wa ajabu sana......!wana kawaida ya kuwataja majina watoto zao kulingana na kitu/mtu anayevuma kipindi hicho!
mfanoi halisi kabisa(fidel atatusaidia...)kuna mtoto pale makete amezaliwa mwaka
2005 anaitwa JAKAYA MRISHO KIKWETE SANGA😀
 
Hahaha! Compressor kazi yake ni kusukuma refrigerant kwenda kwenye evaporator au? LOL! Nshasahau. Umri bana! Maombi yako hayatasikilizwa!
haya tena!!!! yaleyale! usiutafute wasiwasi ngoja ukukute,kama unawasiwasi kuna maombi subiri yasisikilizwe
 
hahahah Keil
mie nikitoka hapa naenda kuuliza boss hivi hili jina la mwanawetu chanzo chake nini has ..nahitaji majibu fasta


haya mshaanza eh! haya we shauri yako jipatie mapresha ya bure!!!
 
By the way I didnt know this opportunity is existing ah I can imagine likitu likikubore you just call your son's name really LOUD and there you go smiling all the way!! Tusingekuwaga na maBP, SHELL wala maOIL COM

.... na ungepata bahati ya kuzaa watoto wote wa kike, ambao hata nafasi ya kuweka jina la kiume haipo! Penye miti huwa hakuna wajenzi, na palipo na wajenzi miti huwa haichipui ... lol!
 
hahahah Keil
mie nikitoka hapa naenda kuuliza boss hivi hili jina la mwanawetu chanzo chake nini has ..nahitaji majibu fasta

Na utuletee majibu basi🙄. tukusaidie kulia !!!!!!!teh teh teh
 
mfano mimi jina langu nimepewa la babu yangu, nadhani si vibaya tukiwaita watoto wetu majina ya ndugu zao ila sio majina ya wale ndugu hamnazo,mtajuta wakubwa,

na majina mengine loh kama babu alikuwa mchawi ndo maana akapewa jina la kifaru natania lakini
 
teh teh teh teh teh teh
 
compressor

compressor has no status.
Member
Join Date: Thu Nov 2009
Posts: 14
Thanks: 0
Thanked 3 Times in 3 Posts
Rep Power: 0



Hahaha! No wonder! Compressor una spidi kali wewe! LOL!

Ziondaughter

Ziondaughter is smart and special
JF Premium Member
Join Date: Thu Jul 2009
Location: DSM
Posts: 927
Thanks: 102
Thanked 212 Times in 148 Posts
Rep Power: 22


Hahaha! No he can't. That much I can swear! LOL!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…